Kwa hakika Nape ameonyesha kuwa anao uwezo wa kusimama kwa miguu yake na kutenda kile anachoamini ndo sahihi. Amemaliza shauri kwa nafasi yake kilichobaki Bwana Mkubwa ana hiari ya kuchukua hatua kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.