Recent content by bata mzinga

  1. B

    Samaki bei ya jumla

    069 819 3856 namba yangu mkuu
  2. B

    Samaki bei ya jumla

    ahsante mkuu kwa urekebisho
  3. B

    Samaki bei ya jumla

    karibu mkuu
  4. B

    Samaki bei ya jumla

    wabichi mkuu
  5. B

    Samaki bei ya jumla

    upo sahihi mkuu ni samaki watamu sana
  6. B

    Samaki bei ya jumla

    karibu mkuu
  7. B

    Samaki bei ya jumla

    thanks mkuu, samaki wengi wanaanzia gm 300, ukitaka kuona aina ya samaki utaniambia tu nikutumie
  8. B

    Samaki bei ya jumla

    ndiyo Boss kama mkoani njoo tuzungumze namna bora wa kufikisha
  9. B

    Samaki bei ya jumla

    kuanzia kg 50 Boss
  10. B

    Samaki bei ya jumla

    Je una butcher la samaki wa maji chumvi(samaki kutoka baharini),tunauza samaki kwa bei ya jumla bei zetu ni nafuu na unalipia pale unapopokea mzigo,mzigo wetu unaipokelea mbagara zakhem, tafadhari fungua hiyo picha uone bei zetu za samaki na pia unaruhusiwa kuuliza chochote
  11. B

    PreGE2025 Lissu aishangaa CHADEMA ilimpokeaje Nyalandu

    Mkuu elewa ninachosema,kikubwa natamani majukwaa ya vyama vya upinzani kwenye majukwaa yao yawe na sera za kiuchumi, kama unaona suluhu ya hiki ninachosema ni kuanzisha kila mtu chama chake,baki na huo utashi wako..!
  12. B

    PreGE2025 Lissu aishangaa CHADEMA ilimpokeaje Nyalandu

    Hivi kuna chama kina mipango thabiti au sera mahususi zinazogusa maslahi mapana ya wanachi wa kawaida?,kikaja na mipango thabiti inayohusu mageuzi makubwa ya nchi hii kwenye nyanja zote..,kiukweli naona mipasho ni mingi sana kwenye hivi vyamaa,kiukweli ninayotegemea kuyasikia siyasikii kabisaa
  13. B

    Serikali punguzeni gharama za kuingiza umeme ili mkusanye kodi

    Mkuu natanguliza samahani pia kwako,na pia itakuwa busara kutoa neno Mh kwangu,naongea kama mdau kwenye sekta umeme, hasa hasa kwa maeneo hayo hayo uliyosema ya vijijini,kwenye miradi mingi inayotekelezwa kwa sasa ya kupeleka umeme vijijini TANESCO wanahusika kama wadau kwenye usimamizi,ila...
  14. B

    Serikali punguzeni gharama za kuingiza umeme ili mkusanye kodi

    Tukiongea kuhusu vijijini bado serikali ina miradi ya kupeleka umeme vijiji,ambayo kimsingi mwaka uliopita wa fedha unatakiwa ukamilike,kwa ile hoja kwamba miondombinu ya nguzo haijafika maeneo mengi,pili kuna miradi ya vitongoji na mitaa kwa maeneo ambayo miradi ya umeme haijafika, halafu pia...
Back
Top Bottom