Braza tatizo una mkono wa birika ............
Watumishi wengi wa kibongo mkuu njaa kali
Kama huwaungii na wao wanakuacha kama ulivyooo............
Lakini ukiwa mtoaji hata hela ya soda utahudumiwa kama vizuli na mgojwa.
buku mbili au tatu .........
Naomba nikushauli mambo mawili
1.kama unasoma kwa lengo la kupata skills ukazitumia katika kujiajiri na kutafuta fursa za kukuongezea kipato basi nenda kasome
2.kama unasoma kwa lengo la kutafuta ajira mpya na kuachana na kazi uliyonayo basi ni vyema ufanye biashara
Kuna kampuni inaitwa ukamwi ni mawakala wa wafanyakazi viwandani kwa kazi za vibarua
Na kuhusu malipo kwa siku ni elfu 11 na ofisi zao zipo dar ofisi zao zipo vingunguti
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hiki kitu huwa najiulizaga sana kuna aina fllani ya watu Hao siku zote wao huwa kuna watu huwa wanawatizama kuwa ni watu wenye roho mbaya
Yaani full kuwasema vibaya, full kuwachukia, full kuwaombea mabaya , full kukutendea mabaya
Lakini inapotokea aina hii ya watu wanapitia wakati mgumu au...
Toxic hawa tunasema ni aina fulani ya watu ambao wanakufanya ukose amani na furaha kazini kwako,
Ni watu wako negative na wewe. Ni watu ambao wanaangalia makosa yako, ni watu ambao wanataka udhalilike, ni watu ambao muda wote hoja zao nyingi kuhusu wewe ni kufukuzwa kazi
Je, watu kama hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.