Recent content by Bata batani

  1. Bata batani

    Ikiwa Ujerumani ndo nchi ya watu wenye akili duniani na wana nguli imeshidwaje kuwa among super power dunia

    Sio hii ujerumani ya saaa NI china,urusi na marekani hawa ndo super power kidogo kwa mbali uingereza ,india, ufaransa
  2. Bata batani

    Wakati wako ukishapita umepita waiting for tommorow is the biggest mistake tunaojutia sisi mabraza wenu wa 35 going to 40

    Wadogo zangu kama una mpango wa kufanya jambo aiseee lifanye mapema ukianza kufika aged from 35 haki ya nani unaanza kujilaumu mwenyewe polepole Sisi ma braza wenu saivi wengi tumeanza kujuta tangu tumeanza kuingia 35 going to 40 Kale katabia kaa waiting for tommorow to do something ndo...
  3. Bata batani

    Ikiwa Ujerumani ndo nchi ya watu wenye akili duniani na wana nguli imeshidwaje kuwa among super power dunia

    Albert Einstein – Nadharia ya Relativity Max Planck – Mwanzilishi wa Quantum Theory Werner Heisenberg – Uncertainty Principle Wilhelm Conrad Röntgen – Aligundua X-rays Hermann von Helmholtz – Fizikia na fiziolojia 🧪 Kemia Justus von Liebig – Baba wa modern chemistry Fritz Haber – Haber Process...
  4. Bata batani

    Kusema ukweli nchi ya Rwanda ni nzuri sana

    Kumbe umekuwa ukifuatilia lakini hujawaahi kufika rwanda ......... Mi nilijua umefika kumbe tuu umeangaliia video za ai
  5. Bata batani

    Vladimir Putin ameidhoofisha sana Russia na washirika wake tofauti na akina Stalin, Vladimir Lenin

    Kwa kifupi ukizungumzia urusi ile ya valdamir lenini na joseph starlin tofauti hii urusi inayongozwaa putin. Ukweli ni kwamba putin huyu jamaa ameidhoofisha sana urusi na washirika tofauti enzi za akina lenini na starlin Ukweli ni kwamba hawa jamaa walijengea urusi na kulifanya kuwa taifa la...
  6. Bata batani

    OMBI: Naishauri Serikali kupunguza umri wa kustaafu kutoka miaka 60 mpaka 45. Na kustaafu kwa hiyari kuanzia miaka 40

    yaani hata ingekuwa miaka 20 kustaafu kama huna connections au mtu wa kukushika mkono kazi ni bure
  7. Bata batani

    Kitu nilichojifunza after marriage mwanamke ndo kiumbe mshindi katika hayo mahusiano

    Wadogo zangu mnaotaka au mnaokimbilia kuoa hii siri pekee ila ukweli ni kwamba marriage ni vita katik ya mwanamke na mwanaume Before marriage mwanaume unaweza ukamfanya chochote kile mwanamke wako Lukweli ni kwamba after marriage mwanamke tiyali ameshakushinda na ukitaka kujua hilo angalia...
  8. Bata batani

    Katika vita vya pili Ujerumani had the best military technology kuliko USA wala Urusi lakini ilikuwaje wakashidwa vita?

    Baada ya vita vya pili kumalizika ukweli ni kwamba genius wengi kutoka ujerumani walichukuliwa na marekani , urusi pamoja na uingereza baada ya ujerumani kuionyesha dunia nguvu yao kijeshi na kitekilonojia sasa hebu leo hebu tujikumbushe ugundunzi uliofanywa na wajerumani 1.kombola la v2...
  9. Bata batani

    Application ya mikopo ya ukopeshaji imegonga mwamba, sijui nilipe huu mkopo au niingie mitini?

    Kwa kifupi tuu Kama ulitoa permission App ya mkopo kuchukua taarifa zako Alafu uka Uninstall app Yao bila kublock ukasahau kublock permision ,clear cache na data , walipe hela zao coz watasumbua Sana ndugu jamaa zako wa karibu kuwa Wewe ni tapeli mwisho kabisa kama hukubadilisha...
  10. Bata batani

    Nani wa Kulaumiwa kwa Kusambaa kwa Teknolojia ya Nuclear Bombs Duniani?

    Hapa wa kulaumiwa ni ujerumani hii program ya kutengeneza silaha za Masafa marefu na technolojia ya nuclear ilianza chini ya Jeshi la wanaziiiii under adoph hilter chini ya wanasayansi 2000 Kutoka na bajeti kuwa ndogo ujerumani marekani iliwachukua wanasayansi 2000 na kuwapeleka marekani...
  11. Bata batani

    Usipochukua hatua mapema ewe kijana Nilichogundua 40 years kwa mwanaume ni umri wa majuto,fedheha na kejeli

    Acha kabisaaa yupo jamaa yetu majuzi tunamwita Brazaa saivi ni boda boda Pale kijiweni age mates anaoshinda nao kijiweni wengi wao wale miaka 16 hadi 20 Yeye saivi yupo about 45 ana mengi ya kuongea
Back
Top Bottom