Recent content by Basisawa

  1. B

    standard charted graduates programme

    Jombaa naona una hasira kinyaama!hujajenga network ya kujua haya makitu kabla hujayaleta jukwaani?ama u mmoja wa wale kina Mourinho,i.e.,'the special ones' ,ila mkiona kiimya ndo mnambwanda na kuja huku?
  2. B

    Nyumba zinauzwa Sinza kwa Remmy

    Zipo 2,kubwa na ndogo,ndani ya fence moja.Mita 150 toka Shekilango road.Zina vyumba 6,vitano ni chumba na sebule na kimoja ni chumba peke yake. Bei ni mil180. Kwa mawasiliano-0715120176
  3. B

    Nafasi mpya za kazi tanzania international universty

    Huyo Vampire Vegetarian nahisi ana mtindio wa ubongo na taahira ya akili.wakati huku wadau wana maswali yanayohitaji majibu yeye alikuwa zake MMU anajifunza "Faida 16 za kufanya mapenzi kila siku!". Pumbavu zake.
  4. B

    Hizi Ndio Faida 16 za Kufanya Mpenzi Kila Siku

    ooooh!..ndio maaaana. Cheating ain't fair but somebody gotta do it
  5. B

    Kaa Chonjo: Kazi:Tanzania International University ni Utapeli tupu!!!!!!

    asante mkuu,umenena vyema.niongezee tu mambo mawili:mosi,majibu ya mtoa tangazo na ya 'mpambe' wake anaejiita mama esnath kwa maswali wanayoulizwa yamechangia pia.pili,vuguvugu la kutaka mabadiliko kwenye mfumo wetu wa elimu kutokana na kushuka kwake kunatufanya tuwe makini zaidi na hizi...
  6. B

    Kaa Chonjo: Kazi:Tanzania International University ni Utapeli tupu!!!!!!

    sawa interview ni ghali,lakini ujenzi na uendeshaji wa chuo kwa ujumla ni ghali zaidi.je mlipokea kabisa ada za wanafunzi watakaopenda kujiunga na chuo chenu kufanikisha haya? Umeweka tangazo lisilojitosheleza sana,achilia mbali mapungufu ya kisarufi yaliyomo.Pitia upya majibu uliyotoa uone...
  7. B

    Singida: Afande apiga picha za uchi na kupiga wake za watu

    mkuu natamani ningeruhusiwa kutukana,linitoke tusi japo kinitoke hiki kiungulia.ila magreat thinkers tumekudharau,kichwa cha habari na maelezo ya ndani havina ushirikiano kabisa. Ningekuwa huyo afande tungekutana mahakamani uthibitishe pasi na shaka yoyote hizi tuhuma zako,iwe fundisho kwako na...
  8. B

    Stamina na mistari ya kuunga-unga

    Kumbe hata hujui tafsiri ya hiphop na rap?ndio maaaana!ila ulijionesha toka awali. 'Sasa mbona umetoka nje na gagulo??'
  9. B

    Stamina na mistari ya kuunga-unga

    'filings' sijajua ndo makitu gani. Ila nachojua 'feelings' zinatokana na senses za binadamu na zina influence kubwa katika kufikiri kwake. Ni vema ungejibu hoja kwa hoja,ama hukutaka kupingwa mkuu?haya basi umepatia.
  10. B

    Stamina na mistari ya kuunga-unga

    Ngoja nichukue na 50% uliyobaki nayo. Kumbuka mleta uzi katumia maneno '...kwa miaka 10 ijayo'.hapo ndipo hatuwezi sema kwa hakika kina Fid na Jmoe WATAENDELEA kuwa miongoni mwa wasanii bora wa hiphop,kwa kukosa hiyo element ya uwezo wa kufreestyle niliyoizungumzia.kuna watoto wapo jikoni...
  11. B

    Stamina na mistari ya kuunga-unga

    Ungekuwa unaamini kukaa kimya ungeanza ww kukaa kimya! Thread yako imebebwa na sentensi "mistari yake mingi ni ya KIUJANJAUJANJA mno!".huna tafsiri ya kiujanjaujanja na mifano yake,na pia storytelling inaruhusiwa kwenye hiphop,kama ulikuwa hujui. Zaidi kuwataja kina Geez,Babuu,Kala,na Mansulii...
  12. B

    Kama Huna Kazi na Umekata Tamaa Soma Hapa

    Unaleta dharau kumbe majalala tu!ka unajiamini umenipita weka hata jiwe basi!unachonga kumbe pangu pakavu? Siku nyingine usiwaletee madogo stori za kishankupe humu!,japo una upeo finyu wa kuelewa na kuchanganua mambo.
  13. B

    Kama Huna Kazi na Umekata Tamaa Soma Hapa

    Nilijua tangu mwanzo akili yako ilipolalia,kutaka kujikweza wewe baaab kubwa kwa wanaotafuta kazi!,ndo mana ukathubutu kuwakejeli eti 'kila la heri katika kusaga lami'.Sifa za kijinga zitakuua!badala ya kuwaencourage,ulivyo kilaza unajisifia kijuha! Ila mi naapa nipo tayari hata kukatwa kichwa...
  14. B

    Natafuta kazi ya secretary

    No disrespect intended!,ila sijawahi ona secretary wa kiume. Kila la kheri mkuu.
  15. B

    Kama Huna Kazi na Umekata Tamaa Soma Hapa

    Kweli wewe 'msomi kweli kweli sio masihara!'.Unajisifia magamba wakati unaonesha dhahiri kichwani hakuna kitu! Yani huoni hata tofauti ya uandishi katika kujenga hoja kati yako na hao unaowaita 'wa vitengo'? Hizi degree za vyupi zitaliangamiza taifa aisee! Kingine mi si mtu wa misifa ya kijinga...
Back
Top Bottom