Mkuu nadhani labda nitaedit uzi ili nieleweke vema mimi nahisi kile kilichopo tumboni ndicho kinachohisi na kulia ila yeye hajui so naona kama mimi na hicho kiumbe kitakatifu ndo tunajua shida na kinanialat kiivyo kwa mama yeke kulia
Hii ni ajabu na kweli,
Kiukweli nimeshawahi msaliti kama Mara 3 hivi, Ila leo ndo kazidi sana kulia, jana nilijua yameisha maana nilivyorudi alianza kukasirika ila kaamka analiaa anasema hajui anacholia ila anapata wivu vibaya sana nimembembeleza na kuomba msamaha kwa jambo ambalo hata yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.