Recent content by BASHITE

  1. B

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Kwakuwa mh.lowassa alisema ataenda kuchunga ng'ombe Monduli,je lini ataondoka kwenda huko?
  2. B

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Waziri mkuu mwakyembe....Waziri wa nishati na madini...Sospeter Mhongo.
  3. B

    Tusubiri uchaguzi wa Tanganyika

    Utapambana hauna dola wewe?naona umeshiba viazi.
  4. B

    GE2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

    Safari ya miezi mitatu katika uchaguzi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania umefikia tamati huku ndugu John Pombe Magufuli akiibuka kuwa raisi wa awamu ya tano....Raisi mteule amezaliwa wilayani geita katika kijiji cha katoma...baadae Baba yake alihamia chato mkoani kagera enzi hizo...hivyo leo...
  5. B

    Kwanini ITV wanaegemea sana CHADEMA?

    sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
  6. B

    Kishimba azidi kutamba,lembeli azidi kunywea

    Mgombea ubunge jimbo la kahama mjini Mh.Jumanne Nkandi Kishimba...amesema kwamba atajenga kilometre ishirini za rami mjini humo...akihutubia wakazi wa kata nyahanga,mheshimiwa Nkandi alisema..tatizo la mji wa kahama ni miundombinu ya barabara,msongamano mkubwa ktk hospitali ya manispaa ya...
  7. B

    GE2015 Lembeli tumbo joto Kahama

    Miaka kumi ya Ubunge wa Lembeli hakuna alichokifanya jimboni kwake....Kwasababu Lembeli hakufanya chochote tofauti na kufanya majungu,lembeli amekutana na wakati mgumu sana kwani ukimuuliza alifanya nini jimboni mwake,anasema alitoa vikoba kwa wananchi na kufanya mikutano mingi kwenye kata...
Back
Top Bottom