Recent content by Baruma Jr

  1. B

    Ni wakati wa UKAWA kufanya ziara ya pamoja sasa

    Watanzania wengi tunapenda mabadiliko chanya lakini bado wajinga ni wengi ambao kuwapenyeza maarifa kichwan ni kazi nzito. Ambaye hajui naye et anajua na atamuelekeza ambaye hajui? Twende tu tutafika. Kuna mtu anajitoa ufahamu ktk wazo zuri analipinga ili kumlinda fulani naye kwa kuwa anamlinda...
  2. B

    Prof. Baregu: Zitto ni mzigo

    WAACHE NDEGE WAPITE JUU YA KICHWA CHAKO WAONDOKE ZAO USIKUBALI WAJENGE KIOTA JUU YA KICHWA CHAKO MAANA WALIMWENGU NA MUNGU WATAKULAUMU SANA NA KUKUÖNA MBAYA KAMA NDUMILA KUWILI. WEWE UKITUHUMIWA KUTENDA USALITI AU UOVU WAKATI UNATAKA KUUTENDA AU UMEUTENDA ACHA NA UJUE HILO NI ONYO LAKIN UKAJA...
  3. B

    Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

    HAPO ITUMIKE CONFLICTING THEORY. KITU CHA KUWEZA KULETA UGUMU NI KAMA ZITTO ATATUNISHA MISULI YA UBONGO NA KAMA VIONGOZI WA JUU WATATUNISHA MISULI YA UBONGO. SI VEMA KUJENGANA NA KUADABISHANA KWA KUKOMOANA. NAAMIN WEMA NI AKIBA NIKIMANISHA ZITO ANA AKIBA YAKE YA MEMA CHADEMA NA NI AKIBA HIO HIO...
  4. B

    Ujio wa Zitto Kigoma, Magdalena Sakaya wa CUF ndani

    "waache ndege wapite juu ya kichwa chako wakienda zao usikubali wajenge kiota juu ya kichwa chako maana dunia na mbingu vitakuelewa na kukuona vibaya"" baruma jr 0769109775
  5. B

    Mwigamba: Ushindi wa CHADEMA Sumbawanga haututishi

    Mwigamba na upeo wake ni sawa na mtu anayetumia kibatari akiishi kariako na kujtangaza kuwa anaish jijini. Ndio mana Tanzania mabadiliko ya maendeleo yakija wajinga hurudisha mawazo nyuma. Chief Menelik 2 wakat wanatekwa na ukolon aliwah tamka jukwaani kuwa wakolon wamekuja kuteka nchi yetu...
  6. B

    Jaji Warioba kwenye dk 45 ITV

    Mh. Jw(jaji warioba endelea kusema kweli na kusimamia kweli katika maisha yako yote hapa dunian maana kweli ni kweli, pia umeonesha uimara maana uongo ni udhaifu na ukweli ni uimara. MUNGU AKUPE HEKIMA ZAIDI NA AKUJAZE MENGI ZAIDI YA HAYO UWAPE WATANZANIA NA WAELIMIKE.
  7. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wa maswa na Bariadi njooni Nami niende kasulu 0769109775
  8. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nitafte 0769109775 tupange mchakato.
  9. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Bwana Issa Daud nitafute kwa namba 0769109775. Pia upon shule gani hapo kAsulu. NatAka kuhAmA. Au we nibupu tu tuanze mchakTo was kuhAmA au tupAnge link tuanze but be serious. BARUMA Jr
  10. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Natafuta mwl wa sekondari atoke kasulu ahamie bariadi mjini nami nihamie kasulu. Mawasiliano . 0769109775. Au nitumie msg . Baruma jr
  11. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Usinihukumu kaka. Mimi ndo natafuta WA kuja bariadi mi niende kasulu. Kama upon tayari Sema nami Pia kuna mwalim mwingine nimemrushia tangazo ndo Huyo anataka Moro.mbeya name iringa il I atoke bariadi.umenielewa kaka
  12. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NATAFTA MWALIMU WA SEKONDARI WA KUJA BARIADI MJI NAMI KWENDA IRINGA,MOROGORO NA MBEYA. MAWASILIANO 0768111628 au 0769109775
  13. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NATAFUTA MWALIMU WA SAKONDARI WA KUJA BARIADI Mji MKOA WA SIMIYU ILI MIE NIHAMIE KASULU KIGOMA Simu 0769109775
  14. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    NATAFUTA MWALIMU WA SAKONDARI WA KUJA BARIADI Mji MKOA WA SIMIYU ILI MIE NIHAMIE KASULU KIGOMA Simu 0769109775
  15. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu njoo Bariadi mjini mkoA WA simiyu nije kasulu. Bariadi NI karibu name MWANZA. MUSOMA name shinyanga 0769109775
Back
Top Bottom