Recent content by barongo mpesha

  1. B

    Eti Warioba aliamua Kuwa na Serikali 3 hata kabla ya kukusanya maoni?

    Acha kuota mchana,tume si Warioba ilikuwa na wanazuoni wengi na nguli wa nchi hii
  2. B

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 14 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Nyerere alikuwa binadamu na anayo mapungufu yake.Issue ya msingi hapa si personality ya mtu ni maamuzi aliyoyafanya nyakati zakeTutakosea sana kuishi zamani badala ya leo.Nyerere hakuwa nabii
  3. B

    Zanzibar siyo NCHI - Jawabu ni A siyo B au C...

    Nenda shule kwanza ili ujue historia ya Tanzania ndo utajua kuwa wewe ni mtanganyika na uwezi kuupinga ukweli,maana unavyofikili inaonyesha hata elimu ya msingi huna.
  4. B

    Vodacom acheni kutuibia

    Licha ya hiyo wamekuwa wakikata hela ambazo haijulikani sababu ya makato hayo
  5. B

    Wema sepetu afiwa na baba yake

    Pole sana Wema Mungu akupe subira
  6. B

    Kuna Viongozi wasaliti CHADEMA - Mbowe

    Sawa kamanda Mbowe uko sahihi kabisa
Back
Top Bottom