mmmhhh kama ni kwenye mashamba ya mkonge sikatai lakini kama ni underground inawezekana kuwa ulishatolewa ....na kama unataka kuwa na uwakika na kazi husika make sure anayekupa taarifa basi amefika eneo hilo si zaidi ya siku 30 tokea leo na pia lazima akwambie ni hali gani amekutananayo eneo la...
mwenye kuwezakunisaidia Jina la wimbo (sound track)kwenye movie ya welcome to America iliyoigizwa na eddie Murphy.na inasikika pale tu movie ianzapo na Mumbaji ni Frank Sinatra, nina la wimbo ndiyo naomba msaada kwa anayefahamu.
pole mdogo wangu hiyo siyo picha ni video na nikusaidie pia huwa zinachukuliwa video bila Flash light...Pole sana kwa elimu ndogo juu ya haya.
Karibu sana ujifunze
Si njema kumhukumu kuwa ni tapeli moja kwa moja na ndiyo maana aliuliza je zinachukuliwa na kama kuna aitakaye basi awasiliane naye pia waongee....kwahiyo hapo ni swala la maamuzi tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.