Recent content by Barhearty

  1. B

    Aina gani ya PC/laptop nzuri

    kati ya samsung, toshiba na hp ipi nzur zaid
  2. B

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    Wanaosema Tundu Lissu kamtukana Nyerere wanamatatizo kwenye akili zao akil. Au wanau ccm unausumbua
  3. B

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    wewe ujawahi kukosea mkuu? Hakuna mkamilifu ktk dunia hii hata huyo Nyerere
  4. B

    Mwalimu Nyerere ametukanwaje hasa?

    nashukuru kwa kuliona hilo. Hakuna mkamilifu hata mchungaji na mashekhe wanakosea
  5. B

    Aina gani ya PC/laptop nzuri

    asante kwa mawazo yako nitayafanyia kazi
  6. B

    Msaada; Matatizo chini ya kitovu

    Habari zenu wanaJf. Kuna binti aliumwa na tumbo kwa muda, baada ya masaa kadhaa akaaza kuharisha uku tumbo likimuuma sana badae akatapika mara moja. Ila tumbo likaendelea kumuuma. Ila tumbo limeacha kuuma tatizo ana anasikia kitu kama kinacheza au kuvuta na kuacha chini ya kitovu ila...
  7. B

    Aina gani ya PC/laptop nzuri

    hiyo Hp ni shiling ngapi. Nataka kujua na vitu vya muhim kama Gb
  8. B

    Aina gani ya PC/laptop nzuri

    asanteni wadau. Nimepokea maoni yenu nitayafanyia kazi. Ila nahitaji maelezo zaid
  9. B

    Aina gani ya PC/laptop nzuri

    Habar zenu wanaJF, samahani sana ndugu zangu,naomba kujuzwa kuhusu hizi PC ni aina gan nzuri. Nataka kununua ila sitaki kubambikwa kitu kibaya. Samahani kwa usumbufu
  10. B

    Arsenal Vs Bayern Munich. Tutabiri

    arsenal 0 bayern 2
  11. B

    natafuta mwalimu wa economics

    mambo wanajamvi. Natafuta mtu yeyote anaejua uchumi wa kujitolea. Anfundishe kwa miez 2 tu
  12. B

    Gari la CHADEMA hilo anayetaka kuangushwa sijuwi nani hapo

    nan kakuulizaa. Asante kwa taarfa isiyo a sahihi
Back
Top Bottom