Kitu ambacho sijaelewa hapa ni kuwa,Je hiyo ilikuwa ni MECHI MAZOEZI au MECHI YA KIRAFIKI?
Kama ni MECHI MAZOEZI haikupaswa kuwa habari na hata huu uzi utakuwa ni matumizi mabaya ya bundle lkn kama ilikuwa ni MECHI YA KIRAFIKI basi naamini platforms zote za Simba wangeiripoti KABLA na BAADA ya...
Habari wanajukwaa...
Najitokeza jukwaani kutafuta mwenza wa maisha ambaye yupo tayari kuwa mama wa familia.
Wasifu wangu
Umri: miaka 30+
Dini: Mkristo RC
Elimu: Bachelor's Degree
Kazi: Nimejiajiri
Makazi: Dar es Salaam
Umbo: Mrefu futi 6.5,mwili wastani
Rangi:Maji ya kunde
Wasifu wa mke...
Mambo vipi! Naitwa Baredo,ni Mtanzania kwa kuzaliwa,kitaaluma ni Mhandisi Mitambo (Mechanical Engineer),umri wangu ni 30+ bado sijaoa.
Natumaini nitapata ushirikiano wenu ili niendelee kujifunza na kuhabarika kupitia jukwaa hili.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.