Mbosso – Maajab
Mbosso nyimbo zake zote zinafanana,melody zinafanana na bado aina ya muziki anayofanya sijamuelewa mpaka was leo.Nyimbo hii sielewi wala Mimi si kisiwi inahusu nini haswa.hakuna mwendeleo wa Shairi ila kurusha kurusha maneno ya misamiati.
Nyimbo bora 11 za bongo flava mwaka wa 2018 .Zilizofanya vizuri na ambazo ni bora kwa maoni yangu binafsi.
1.nibebe aslay
2.Harmonize ft Diamond Platnumz – Kwa Ngwaru
3.nedy music one and only
4.mvumo wa radi alikiba
5.ninogeshe nandy
6.Harmonize – Atarudi
7.mbwa koko Mr blue
8.Young Killer...
Kuna kipindi kumewahi kutokea mikwaruzani kati ya Harmonize na Diamond Platnumz,” said Lizer Classic.
“Nakumbuka kuna siku Diamond alikuja Studio akaniambia kuwa nifute vocal zake zote katika wimbo wa Kwangwaru nibakishe tu vocal za Harmonize. Nikaona nisije nikapoteza kibaru changu, nikajua tu...
Nyimbo zilizobeba ujumbe mkubwa na uhalisia wa maisha yetu kwa kifupi si tuu zilikuwa nyimbo bora .
Napelekwa mbali kifikra baada ya kusikiliza nyimbo za mwanamuziki huyu ambaye si tuu anajua kuimba bali anajua nini cha kuimba, wakati gani na kwa watu gani.
Wahenga walisema tends mema nenda...
Aslay amefanya vizuri mwaka huu ndio maana ukisikiliza muziki wake mzuri kwenye YouTube utanielewa. Aslay yupo na sauti nzuri ya kuimba kama ya king kiba. Ukilinganisha na wasanii wafutao
Jux
Harmonize
Baraka da prince,
RayVanny
timbulo
neddy music
abdu kiba
Sio Siri Tena alikiba ni mchezaji mpira wa coastal union nilipopata habari sikuelewa . Lakini nilipomsikiliza Mwenyewe akieleza nia yake kwenye interview ya Azam tv nikatambua kuwa ana uwezo ya kutimiza ndoto yake.tokea leo mimi ni shabiki number moja wa coastal union . Nitanunua jezi lake...
Katika muziki wa bongo fleva, mimi hupenda kusikiliza Alikiba . Nyimbo zake huwa zinamafunzo na zinaonya jamii kwa jumla . Kwa maoni yangu hizi ndio nyimbo zake bora
Lofa
Mwana
Mapenzi yanarun dunia
Mac muga
Aje
Usiniseme
Cinderella
Maumivu per day
Mali yangu
Hadithi
ushidani wa kutoa nyimbo kutoka wasafi records. Rich Mavoko malalamiko yake inaonyesha kuwa upedeleo kati ya wale wanaopewa kibao katika lebo hiyo. Rich Mavoko lazima ajiondoae kwenye lebo hiyo aikoe career yake ya muziki.C.E.O wa lebo ya WCB Wasafi Diamond Platinumz hajafanya lolote kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.