Recent content by barbieloree

  1. B

    Nafasi za Jeshi la Uhamiaji na Polisi Magereza zinatoka lini?

    Me siku apply kabisa nasubili hizo
  2. B

    Nafasi za Jeshi la Uhamiaji na Polisi Magereza zinatoka lini?

    Jamni wadau mwenye fununu au anae jua nafasi za JESHI la uhamiaji na POLISI MAGEREZA ZINATOKA lini tunaomba atujuze ili tujiandae jamani
  3. B

    Msaada wa kuondoa tattoo

    Ko makovu makubwa likiwa fogo
  4. B

    Msaada wa kuondoa tattoo

    Ndio alichora kwa wwino
  5. B

    Msaada wa kuondoa tattoo

    Anatumia jina gani
  6. B

    Msaada wa kuondoa tattoo

    Apan jina lake tu anitha
  7. B

    Msaada wa kuondoa tattoo

    Apana hayuko jeshini bado
  8. B

    Msaada wa kuondoa tattoo

    Ndo kabahatika hivoo
  9. B

    Msaada wa kuondoa tattoo

    Habari wana JamiiForums samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini ana tattoo ya jina mkononi, anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma na pasi wanasema makovu hawataki. Anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada...
  10. B

    Natafuta kazi kambi za wakimbizi Kigoma

    Msaada wanajamii forum, naweza pata kazi gani kambi ya wakimbizi mfano Nyarugusu au Kihondo, uko kama sina elimu ya juu kama certificate, diploma na madegree nina elimu ya form four tu Hata nikipata ya upishi sawa au usafi maofisini au kazi gani nyingine naweza pata La mwisho mwenye connection...
  11. B

    Msaada wa kupata kazi kwenye Casino

    Mhhh ko.wanaofanya kaz wote casino n bitch proo
Back
Top Bottom