Habari wana JamiiForums samahanini nina ndugu yangu amebahatika kwenda jeshini lakini ana tattoo ya jina mkononi, anashinda ndani analia hajui aiondoe vipi maana akijichoma na pasi wanasema makovu hawataki.
Anahitaji msaada afanyaje ni kitu alichokipigania sasa amebahatika ndo iko hivo msaada...
Msaada wanajamii forum, naweza pata kazi gani kambi ya wakimbizi mfano Nyarugusu au Kihondo, uko kama sina elimu ya juu kama certificate, diploma na madegree nina elimu ya form four tu
Hata nikipata ya upishi sawa au usafi maofisini au kazi gani nyingine naweza pata
La mwisho mwenye connection...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.