Recent content by barbieloree

  1. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Sijaomba kazi kwa sababu sitaki kufanya kazi au nimezoea kukaa. Kama ningekuwa na uwezo wa kifedha, nisingekuwa napost kuomba kazi. Kuhusu kulima, si jambo la kusema tu “enda ukalime.” Lazima nikodi shamba, ninunue au nipate vifaa vya kilimo, nitafute sehemu ya kuishi, na kwa sasa eneo hilo ni...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Asante kaka nimekuelewa
  3. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Tukomae wapi
  4. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Ndio lakini sio ya ulinzi me wa kike na 24 sijawahi pita hata mgambo nawezaje kulinda hizo mali za watu kiasi hicho
  5. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Form. Four
  6. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Apana kaka
  7. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Habari wana JamiiForums. Natafuta nafasi ya kazi yoyote nitakayopewa kulingana na uwezo wangu. Kwa sasa sina ujuzi maalum wa kitaalamu, lakini niko tayari kujifunza, kufanya kazi kwa bidii na kufuata maelekezo. Nipo Dar es Salaam na niko tayari kuanza kazi mara moja. Kama kuna mtu anajua...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Jeshi la Uhamiaji na Polisi Magereza zinatoka lini?

    Me siku apply kabisa nasubili hizo
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Jeshi la Uhamiaji na Polisi Magereza zinatoka lini?

    Jamni wadau mwenye fununu au anae jua nafasi za JESHI la uhamiaji na POLISI MAGEREZA ZINATOKA lini tunaomba atujuze ili tujiandae jamani
  10. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuondoa tattoo

    Ko makovu makubwa likiwa fogo
  11. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuondoa tattoo

    Ndio alichora kwa wwino
  12. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuondoa tattoo

    Anatumia jina gani
  13. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuondoa tattoo

    Apan jina lake tu anitha
  14. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuondoa tattoo

    Apana hayuko jeshini bado
  15. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuondoa tattoo

    Ndo kabahatika hivoo
Back
Top Bottom