Kibali kitoke kwa pande zote wanaomuunga mkono na wanaompinga wanaompinga wataeleza mapungufu na wanaomuunga mkono wataeleza mazuri yake hivyo mi nashauri ili kupata ukweli wote wapewe kibali cha maandamano
Wakipongezwa hawasemi kama dini inachanganywa na siasa wakikosolewa dini inachanganywa na siasa hawajui shilingi Ina pande mbili ukipenda kusifiwa kubali pia kukosolewa
Mkoa wangu ye kautoa wapi kesha ubinafsisha walipita kina makamba walitukuka sana lakini hajawahi kusema mkoa wangu alipaswa kusema "mkoa ninaouongoza" ukilaza ni shida
Ndege wala siyo heshima ya nchi kwa watu wa chini mi Nina miaka 54 nimetumikia serikali miaka 30 mwenye elimu ya shahada moja sijawahi kupanda ndege alafu sitegemei kupanda he mkulima mwenye kipato cha kawaida au cha chini atapanda ndege bora train iwe heshima ya nchi inabeba watu wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.