Recent content by Barakha John

  1. Barakha John

    Tumia Hizi Siri 7 Kukagua Simu Ili Usitapeliwe na Kuuziwa Feki / Grade Namba 2

    Tanzania kila inayo itwa leo watu hutapeliwa ,wengi hupotezea kwa sababu ya udogo wa pesa wanazo tapeliwa …. Fikiria kama ukitapeliwa laki 3,4 au MILLIONI. Ni pesa nyingi eeh…. Kama haupo makini unapo enda kununua simu au Laptop hasa kariakoo na wewe ni suala la muda tu kutapeliwa… Kwanini ...
  2. Barakha John

    Je, Ninunue Simu Gani , Samsung au Google Pixel ?

    pixel mpya zipo hata hapa kwangu zipo nicheki 0757468193 nikupe mpya zipo kuanzia 6a na kuendelea hata 4xl pia
  3. Barakha John

    Je, Ninunue Simu Gani , Samsung au Google Pixel ?

    hahahhaha , shida umenikaanga kaka hahahah
  4. Barakha John

    Je, Ninunue Simu Gani , Samsung au Google Pixel ?

    wewe ulisema Apple wananunua camera kutoka Smsung ndio maana nikakupinga na kukuelewesha usijizime data kaka pitia vizuri majibu yako usijitoe ufahamu
  5. Barakha John

    Je, Ninunue Simu Gani , Samsung au Google Pixel ?

    sasa hupaswi kusema unirekebishe mimi nimeongea kutokana na research yangu kama vipi na wewe uje na research kaka. lakini kingine nimejaribu kuchambua advantage na dis advantage za google pixel za samsung over google pixel kiujumla . kwa maneno rahisi sio samsung zote zipo hivyo ila kwa...
  6. Barakha John

    Je, Ninunue Simu Gani , Samsung au Google Pixel ?

    hahahhhha ni hatari kaka na hii kwa sababu hazina spair
  7. Barakha John

    Je, Ninunue Simu Gani , Samsung au Google Pixel ?

    sio kweli , ingekuwa vizuri ungefanya kwanza research kabla haujaandika .... utofauti upo hivi... kwenye pixel simu ya msingi ni plain yaani mfano , pixel 5,6,7,8,9 lakini kutokana na sababu tofauti za kibiashara mfano budget ,prefferences na ushindani wanalazimika kutengeneza model nyingine...
  8. Barakha John

    Je, Ninunue Simu Gani , Samsung au Google Pixel ?

    Pengine wewe unayesoma uzi huu unawaza ni lini utapata pesa ya kununua simu lakini kwa mtu mwingine hali ni tofauti kabisa ...! Kivipi ,? ..... pesa Anayo lakini hajui ni simu gani nzuri atanunua kwa ajili ya shughuli zake . .... Je , Wewe upo kundi gani la kwanza au la pili ? .........Jibu...
  9. Barakha John

    Bajeti ya 500,000 - 600,000 Google Google pixel ipi itanifaa

    hiyo ni laki 3 na 50 sisi tunauza original tu grade 1 nicheki 0757468193
  10. Barakha John

    Maisha ya muajiriwa wa kawaida kabisa hapa Tanzania kwa mwezi yanasikitisha sana

    Naona hapo kuna mazingira ya watu 2 tunachanganya hasa linapokuja suala la kujenga 😅😄 Kuna watu wameishi mjini tu hawajui maisha ya kijijini / mkoani alafu kuna wale wanao jua maisha ya aina zote . Ko linapo kuja suala la kujenga kila mmoja anatoa mawazo yake kutokana na Experience aliyo nayo...
  11. Barakha John

    Bajeti ya 500,000 - 600,000 Google Google pixel ipi itanifaa

    anapata 256 gb nicheki 0757468193 nimsaidie chap chap mimi nipo k koo aggrey hapa
  12. Barakha John

    Bajeti ya 500,000 - 600,000 Google Google pixel ipi itanifaa

    mimi nauza simu kariakoo hapa kwa muda mrefu kidogo hapo naweza kukupa simu ya google pixel kuanzia 6a mbaka 7 original kabisa kwa samsung huwezi kupata ya maana nicheki 0757468193 nikusaidie . tupo karikaoo aggrey na msimbazi.
  13. Barakha John

    Kosa Hili Liliwagarimu Samsung, Google Pixel Wakawapiga Bao

    Samsung baada ya kushika soko kwa muda mrefu wakajisahau na kuona wanaweza kufanya wanachojisikia sokoni , google pixel wakaja wakawapiga bao na sasa vijana wengi hupendelea zaidi kuliko Samsung. Ona mbaka nasahau kusalimia , Habari gani mwanakidigitali ? Naitwa Baraka Mkisi mnazi wa...
  14. Barakha John

    Muhimu: Aina 5 Za Simu Zinazopendwa na Vijana hasa Wanachuo Tanzania

    #mwanakidigitali najua pengine kuna muda unakuwa unapesa yako lakini unapatwa na kigugumizi sana hasa unapo fikiria simu gani unataka kununua na itakayo kufaa . Leo nitakutajia listi ya simu aina 5 ambazo vijana wengi wa Tanzania hupenda zaidi kutumia hasa kwa wanachuo wengi kwa sababu tofauti ...
Back
Top Bottom