sio kweli , ingekuwa vizuri ungefanya kwanza research kabla haujaandika ....
utofauti upo hivi...
kwenye pixel simu ya msingi ni plain yaani mfano , pixel 5,6,7,8,9
lakini kutokana na sababu tofauti za kibiashara mfano budget ,prefferences na ushindani wanalazimika kutengeneza model nyingine...