Tanzania kila inayo itwa leo watu hutapeliwa ,wengi hupotezea kwa sababu ya udogo wa pesa wanazo tapeliwa ….
Fikiria kama ukitapeliwa laki 3,4 au MILLIONI.
Ni pesa nyingi eeh…. Kama haupo makini unapo enda kununua simu au Laptop hasa kariakoo na wewe ni suala la muda tu kutapeliwa…
Kwanini ...
sasa hupaswi kusema unirekebishe mimi nimeongea kutokana na research yangu kama vipi na wewe uje na research kaka.
lakini kingine nimejaribu kuchambua advantage na dis advantage za google pixel za samsung over google pixel kiujumla .
kwa maneno rahisi sio samsung zote zipo hivyo ila kwa...
sio kweli , ingekuwa vizuri ungefanya kwanza research kabla haujaandika ....
utofauti upo hivi...
kwenye pixel simu ya msingi ni plain yaani mfano , pixel 5,6,7,8,9
lakini kutokana na sababu tofauti za kibiashara mfano budget ,prefferences na ushindani wanalazimika kutengeneza model nyingine...
Pengine wewe unayesoma uzi huu unawaza ni lini utapata pesa ya kununua simu lakini kwa mtu mwingine hali ni tofauti kabisa ...!
Kivipi ,? ..... pesa Anayo lakini hajui ni simu gani nzuri atanunua kwa ajili ya shughuli zake . .... Je , Wewe upo kundi gani la kwanza au la pili ?
.........Jibu...
Naona hapo kuna mazingira ya watu 2 tunachanganya hasa linapokuja suala la kujenga 😅😄
Kuna watu wameishi mjini tu hawajui maisha ya kijijini / mkoani alafu kuna wale wanao jua maisha ya aina zote .
Ko linapo kuja suala la kujenga kila mmoja anatoa mawazo yake kutokana na Experience aliyo nayo...
mimi nauza simu kariakoo hapa kwa muda mrefu kidogo hapo naweza kukupa simu ya google pixel kuanzia 6a mbaka 7 original kabisa kwa samsung huwezi kupata ya maana nicheki 0757468193 nikusaidie . tupo karikaoo aggrey na msimbazi.
Samsung baada ya kushika soko kwa muda mrefu wakajisahau na kuona wanaweza kufanya wanachojisikia sokoni , google pixel wakaja wakawapiga bao na sasa vijana wengi hupendelea zaidi kuliko Samsung.
Ona mbaka nasahau kusalimia , Habari gani mwanakidigitali ?
Naitwa Baraka Mkisi mnazi wa...
#mwanakidigitali najua pengine kuna muda unakuwa unapesa yako lakini unapatwa na kigugumizi sana hasa unapo fikiria simu gani unataka kununua na itakayo kufaa . Leo nitakutajia listi ya simu aina 5 ambazo vijana wengi wa Tanzania hupenda zaidi kutumia hasa kwa wanachuo wengi kwa sababu tofauti ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.