Ukaaji wa chaji ukoje mkuu?Yaaaah nimedaka hiyo mkuu(Pixel 6 Pro). Machine si haba
6 pro?Chaji Iko vizuri tu,
anapata 256 gb nicheki 0757468193 nimsaidie chap chap mimi nipo k koo aggrey hapa6 pro?
Aquos sense 7 plus unauza shingapi?mimi nauza simu kariakoo hapa kwa muda mrefu kidogo hapo naweza kukupa simu ya google pixel kuanzia 6a mbaka 7 original kabisa kwa samsung huwezi kupata ya maana nicheki 0757468193 nikusaidie . tupo karikaoo aggrey na msimbazi.