Recent content by Baraker_88

  1. Baraker_88

    Nitumie picha ya bidhaa unazotaka. Tuelewane gharama kisha nikuletee

    Mfano ukaleta kitu ambacho specification sio sahiz, au feki utakubali kuniletea kingine kwa gharama zako?
  2. Baraker_88

    SIMU JANJA : Budget Tshs 400,000/= mpaka 500,000/=

    Habari wadau, nataka kumnunulia mtu simu janja, mwenye uzoefu wa simu janja nzuri kuanzia uwezo mzuri wa camera, ukubw RAM/ROM, na kukaa na chaji naomba anishauri simu ipi naweza kununua! Isiwe Tecno/Infinix Budget yangu about Tshs 500,000/= Naomba kuwasilisha
  3. Baraker_88

    Nimeletewa mdada wa kazi "jini"

    Ila weye jamaa daah [emoji3]
  4. Baraker_88

    Mama mwenye duka

    Wewe jamaa ni mpumbavu Sana ! [emoji2960]
  5. Baraker_88

    Alichonihadithia jamaa yangu anayesoma China kuhusu chanjo ya COVID-19, kimenistua

    Ni kweli Mkuu, mm mkewangu aliwakatalia , akawaambia kama hamtaki kumuhudumia mtoto mpk chanjo ya COVID-19 muweke bango wananchi wote wajue. Mwisho wa siku hakuchanja na mtoto akahudumiwa vzr
  6. Baraker_88

    Ushauri juu yaKununua Tofali za Block

    Mkuu, gharama za finishing nahisi zitakuwa juu Sanaa kwenye tofari za kuchoma, coz huku magharibi vifaa vya ujenzi vipo juu Sanaa. [emoji848][emoji848]
  7. Baraker_88

    Naomba kufahamishwa kuhusu tofali za blocks zitokanazo na Miamba ya Mawe

    Habari Wana ujenzi! Natumaini mko salama. Nimekuwa nikipita katika baadhi ya mikoa kadhaa ambayo Ina Miamba mikubwa ya Mawe mfano Mwanza, singida, Dodoma etc na kushudia wakiitumia Miamba hio kuzalisha mchanga, kokoto, mawe ya kujengea msingi, etc. Je, hakuna Sehem ambazo hutumia Miamba hii ya...
  8. Baraker_88

    Ushauri juu yaKununua Tofali za Block

    Kuna Sehem huku mwisho wa tz magharibi tofari ya block ni 1800[emoji22][emoji22]. Mpaka nawaza nifyatue mwenyew kwa zile mashine manually? Daah . Na hapo hakuna uwazi katika ratio
  9. Baraker_88

    Mwanaume amekutwa live ana cheat na bado haja tusi nyumbani siku ya tatu

    Kwahio umeamua kuja kunichamba huku ee? Sasa naelekea kigomaaaa sasaaa
  10. Baraker_88

    Kumuoa huyu nafanya kosa tena au nibahatishe tu

    Kabila gani, na wewe una mchumba ambaye upo nae? Pia kwa Dini wewe na yeye ni Dini gani? (Islamic o Christian?)
  11. Baraker_88

    Nilivyojenga kiutani utani. Anza na ulicho nacho

    Hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23]
  12. Baraker_88

    Nilivyojenga kiutani utani. Anza na ulicho nacho

    Hahahaha, angeweka karibu na Cha dada wa kazi ungesemaje Mkuu?
Back
Top Bottom