Kuna mambo yanafikirisha sana, unalipa 18% VAT kama kodi ya huduma ambayo kimsingi serikali inaitumia fedha hii katika miradi ya maendeleo na matumizi mengine, lakini tena unawekewa gharama ya kuchangia maendeleo na matumizi mengine ambayo ni REA 3% na EWURA 1%
Nyie ndio mnatuwekea 3% ya makato ya REA 😀 hatari sana, kwa matumizi ya nyumbani viwango vyote vilitakiwa viwesawa tu, utofauti labla uwe kwa viwandani n.k
Dah ni changamoto, kunahayo makato ya debt collection 1500 sijui ndio kodi ya nyumba ambayo yanakatwa kila mwezi kiukweli khari ya kiuchumi mtaani ni ngumu na serikali inaendelea kutupa mzigo
Kuelekea Bunge la bajeti 2024/2025 naishauri serikali kupitia upya gharama za umeme ambazo zimekuwa na makato mengi sana na kuwa Mzigo kwa Raia. Haya na mengine mengi ndiyo mahitaji yetu sisi wananchi, wabunge punguzeni kusifiana na kutukuzana bungeni, elekezeni mijadala yenu katika kujadili...
Nimuda wake na Katiba inamruhusu kufanya hivyo, na washauri wake wamekubaliana, anaona inamsaidia kwenye uongozi wake, mwacheni apambanie muda wake kuongoza nchi si jambo dogo. Si dhani kama ni dhamira yake kufanya mabadiliko kila mara, changamoto inayoonekana hapa ni aina ya watu wanaomzunguka...
Hadi anatozwa faini inamaana kunasheria amevunja ambayo adhabu yake ni tshs elfu 50,000 mwenye uelewa wa sheria hii aiweke hapa ilikuepusha lawama kwa pande zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.