Recent content by BarakaMkekusi

  1. BarakaMkekusi

    Aliyefanikiwa kutumia dawa za kuongeza uume nahitaji msaada

    Aliyewahi tumia dawa za kuongeza uume na kufanikiwa nahitaji anipe recommendation. Kama hutaki kucomment unaweza kuja PM Kama hujawahi tumia tafadhali achana na hii thread 🤣🤣 Ushauri wa kipuuzi sihitaji. Side effects nazijua kwahyo sitaki comment zakijinga
  2. BarakaMkekusi

    Vita kati ya freemason na kanisa katoliki

    June 24 mwaka wa 1717 kundi la freemason walifanya kikao sehemu iitwayo Gridion ambayo ilikuwa katikankiwanja cha mtakatifu paulo huko wingereza.. Kwenye kikao hicho moja ya ajenda kubwa ilikuwa ni kuunganisha kundi la freemason liwe moja, kwa maana kipindi hicho walikuwa wamegawanyika bila ya...
  3. BarakaMkekusi

    Sababu inayofanya wanawake wasikupende

    https://youtu.be/FvGS_o-ERdw?si=s75p6yIZTv9iyq2X Huu ni ukweli mchungu
  4. BarakaMkekusi

    Hivi law of attraction/quantum physics ipo kweli hii kitu ilisababisha nipate depression

    Kuna dogo mmoja yupo anaitwa james jani amewahi toa video akiexpose hizi imani za LOA.. Kacheki hii video utajifunza vingi https://youtu.be/OHz4slbIRyE?si=y-OWPDUtqXmQXxLN
  5. BarakaMkekusi

    Naomba ushauri nisome programming language gani?

    Android development--Soma kotlin na jetpack compose. IOS--Soma swift au Objective C Game development--soma C++ na blender. Desktop App --C au Ruby.
  6. BarakaMkekusi

    App

    1::Kuna demand ? 2:Ina provide value gani kwa watu? 3:Unaeza kushindana na competitors wako/ uniqueness yako kwenye market. 4:Unaweza kumonetize vp (ukichana na ads)? *Etcetera
  7. BarakaMkekusi

    App

    1024.
  8. BarakaMkekusi

    Programmer na developer wa Tz tunafeli wapi?

    Hapo me naona tatzo kuna app za aina hyo nyingi sana...kumshawishi mtu adownload yakwako ni ngum sana maana competition ni kubwa mno
  9. BarakaMkekusi

    Programmer na developer wa Tz tunafeli wapi?

    Wanaokufundisha wamekaririshwa na walio wafundisha nao wamekaririshwa yani huu mfuno wa elimu nichangamoto sana
  10. BarakaMkekusi

    Programmer na developer wa Tz tunafeli wapi?

    1..Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki??? 2.Kwanini hakuna app iliyotengenezwa na mtanzania ambayo hata mtu wa hapo kenya anaezakuitumia zaidi ya jamii forum?? 3.Kwa nini Tanzania programmer wanaishia...
  11. BarakaMkekusi

    Mungu na Shetani: Nani kaua zaidi?

    Acha kutafuta attention kwa kupost ujinga...
  12. BarakaMkekusi

    Naomba ushauri: Nimepata madhara baada ya kutumia kwa muda mrefu dawa za kuongeza nguvu za kiume 'Erecto'

    1:Kaa at least miez sita bila kufanya mapenz 2:Anza mazoez ya kegel. 3:Acha kula vyakula vyenye mafuta,Soda n.k 4:Usinywe chai asubuh kabla ya kufanya mazoez au kufanya kaz ngum. 5:Asubuh piga maji lita moja unapoamka. 6:Achana kabisa na madawa ya hospitali haswa ya kutibu maumivu (pain...
Back
Top Bottom