Panda daladala za kwenda hosp ya Benjamin mkapa Kisha mwambie kondakta wa dala nashukia njia panda ya kwenda ofisi za utumishi ukishuka kunabodaboda au bajaji pale njia panda wambie wakupeleke majengo ya doct. Rose migiro
Timu ili ishinde inahitaji mbinu za kuweza kufunga magoli kwa timu yetu sasa haina msimamizi wa kuweza kusimmia nn afanye kulingana na mpinzani hilo ndio kwa sas tunakosa kwa hitimana amebeba mzigo ndio maana benchi lote kila mtu ana maamuzi
Kama morrison anapelekwa kamati ya maadili hata yanga nayo inatakiwa waende nao kamati ya maadili kwa kudanganya kwamba jamaa alisaini mkataba wa miaka miwili
Pre contract mchezaji anapobakiza miezi 6 anaruhusiwa kufanya maongezi na timu inayotaka kumsajili kwa hiyo la awesu kuongea na azam kabla ya dirisha si shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.