naona jf ni ya wanaume tu mbona wanawake hamna, wapo asilimia 5 tu, wanafanya kujotokeza kwa bahat mbaya na kutoweka au hawana mawazo ya kuchangia ktk mambo mbal mbali
nina miaka 19 natafuta rafiki wakubadilisha nae mawazo iwe wa kike au wa kiume fresh tu, unaweza kureply namba yako na kuanza kuchat name bila shda sina ubaguzi, kwan wote ni wanadamu.
Jana tulifanya mitihani ya aptitude ulikuwa shule ya msingi kabsaaa ambapo angefanya mwanafunzi wa shule ya msingi kwakwel ingekuw ndio bahat yake yan maswala ya nyenzo daraja la ngapi. pia na maumbo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.