Kuna wakati ni ngumu kukumbatia maumivu ukitabasamu.
Kuna wakati usingizi huja baada ya machozi.
Wakati ambapo kila ladha ni Chungu na kila tendo ni vivu.
Huo wakati ambao hujielewi wewe ni nani ukihisi umepungukiwa akili ,nafsi mpaka roho.
Huo wakati unaopitia ni kila mtu anapitia kwa namna...
Kama wewe ni mwanaume na unaamini sifa inayokutambulisha ni ndevu au uzito wa sauti ama kuwa tu na viungo vya kiume,kuna kitu kikubwa umepungukiwa.
Labda nikwambie jambo jamaa yangu , umezaliwa kwa sababu na usijisahau kabisa kwenye hii dunia. Unajisahau kwa kuwa unapuuzia vitu vya msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.