Hawa wazee wetu hawana hata aibu,wapo madarakani tangu 1975,kipindi hicho Sita akiwa waziri wa miundi mbinu,na mpaka leo bado yupo madarakani wakati huo anataka uraisi,hivi hii nchi wanadhani wapo wao tu???,hakuna wengine,inatosha wakacheze na wajukuu huko shamba,walisha tengeneza pesa sana