Recent content by baraja jr

  1. B

    Mbunge Zungu, hapa unachemsha vibaya!!!

    mhe zungu jana kaongea vzr sana wana jf kuhusu matatozo yaliyoletwa na mkurugenzi mpya aliyshindwa mwanza ambavyo anatka kuivurga tena dsm pmja na ttzo kubwa la machinga na jinsi serkali ambvyo hawalipi ufimbuzi mzuri ili waendelee na kazi zao
  2. B

    Usanii huu wa CCM ndio utaing'oa 2015

    punguzo la paye by 1% sawa na shillingi 1900 kwa wafanyakazi na maisha yalivyo Vat ktk kila bidhaa unailipa indirectly sjui tunaelekea wapi
  3. B

    Mnyika atumia bunge kuwajibu wajumbe wa baraza kuu

    ktk wabunge ambao wnweza kuchangia mijadala vzr bac jmaa anaongoza tena na uthibitsho wa vtbu akchambua na kujenga hoja mbalimbali wkt wabungw wengi wamechangia mipasho na kuunga hoja bila ht kujadili matatizo ya msingin majimboni mwao nwananchi wanaona wawakilshi wao ndio watawahukumu
  4. B

    Kwa wanaopenda kupendeza!

    Du ukijumuisha na vat au kuna usafiri ndani ya hyo suit maana mmh
  5. B

    ushauri wenu unahitajika plz

    Ufinyu wa mawazo hv nguvu kazi hsa vjana kukaa tunajidili pumba hz badla ya ubunifu wa kufanikiwa ktk maisha duu kweli ss ni weusi wa ngozi mpka fikra nazo ni nyeusi
  6. B

    ushauri wenu unahitajika plz

    Ufinyu wa mawazo hv nguvu vjana kukaa tunajidili pumba hz badla ya ubunifu wa kufanikiwa ktk maisha duu kweli ss ni weusi wa ngozi mpka fikra nazo ni nyeusi
  7. B

    Kuacha kunauma jamani! Kwani inawezekana kumrudia mpenzi uliyeamtamkia kumuacha?

    Unamrudia kwa kipi kipya mtu ambaye umempa mkono wa kwaheri bac huna msimamo na maamuzi yko na wajaabu mno utakuwa hujiamini na hii ni kujiendekeza hmna kpya ukiamua amua kweli sio unasema nyama umeacha kula hlfu mishikaki ikja mate ynatka
Back
Top Bottom