Recent content by baracuda

  1. baracuda

    Kama kawaida ya madaktari, huwa hawapendi kuguswa

    Hayo mambo ya kulipia kumuona daktari yafaa yafutwe kabisa katika hospitali zote, za umma na binafsi.. maana mgonjwa hulipia gharama za kutibiwa, vipimo, dawa n.k....daktari anapata mshahara alizike nao..
  2. baracuda

    Salome Makamba: Mabando ya simu yasiwe na ukomo wa muda wa kuisha

    Ameongea vema ila utekelezaji ndio mtihani mkubwa..
  3. baracuda

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Huyo jamaa ni mbishi mno.. anakataa sanamu wakati hata maandishi ni sanamu za maneno.. labda kuanzia leo aache kuandika wala kusoma.. pia anasahau kuwa Mungu mwenyewe aliagiza kutengenezwe sanamu ya nyoka wa shaba jangwani na hiyo sanamu ya nyoka wa shaba inafananishwa na Yesu msalabani katika...
  4. baracuda

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Mkimaliza kubishana muache nafasi kwa mleta mada aendelee kutujuza mambo ya vatican.. asante.
  5. baracuda

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Hii st. Peter square ina ukubwa gani? Maana mamia ya watu humiminika mno hapo..na usalama unakuwaje, Unasimamiwa na serikali ya Italia ama vatican yenyewe?
  6. baracuda

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Du we jamaa ni zaidi ya mbishi.. basi mzee baba umeshinda..Tumuache mleta mada aendelee kutujuza mambo ya vatican.. asante.
  7. baracuda

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Paulo..alimbatiza askari wa gereza na nyumba yake yote..
  8. baracuda

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Labda uende pia ukatafakari. Je unapoambiwa mtu fulani alibadili imani ama kufuata maagizo fulani ya Mungu, ,! Yeye na nyumba yake yote,! Unaelewaje hapo? Je unadhani Baba ama kiongozi wa Familia anaweza kubadilika yeye peke yake na kuacha wengine wa nyumbani mwake nyuma? Au unadhani Baba...
  9. baracuda

    Special thread: The Vatican secrets and treasures of the Holy City

    Mi nilidhani unahitaji kuelewa kumbe lengo lako ni kubishana ili ushinde haya nenda kasome kitabu cha matendo 16... 13-15 na matendo 16 mstari wa 33.. walau unaweza kupata maana.. ila la muhimu ni kumuacha mleta mada aendelee kutujuza yanayoihusu vatican.. asante..
Back
Top Bottom