Kama ilivyokawaida mwaka wa uchaguzi Chama tawala kimekuwa kikiwaajiri walimu pindi tu wanapomaliza masomo na kupata matokeo yao. Ajira hizo zimekuwa zikitolewa mwezi wa 9 . Je, kwa mwaka 2015 Ajira zitaendelea kuwepo na kama zikiwepo JKT itakuwaje?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.