Recent content by BARACKA MANYAMA

  1. B

    JKT na AJIRA kwa walimu wanachuo walohitimu mwaka 2015.

    Kama ilivyokawaida mwaka wa uchaguzi Chama tawala kimekuwa kikiwaajiri walimu pindi tu wanapomaliza masomo na kupata matokeo yao. Ajira hizo zimekuwa zikitolewa mwezi wa 9 . Je, kwa mwaka 2015 Ajira zitaendelea kuwepo na kama zikiwepo JKT itakuwaje?!
Back
Top Bottom