Mkuu hukamuelewa mtoa mada. Kuna nanafasi zinaitaji fresh from school na kuna nafasi zinazoitaji experienced one aswa nafasi za management kama DED kwenye halmashauri ndo mtendaji mkuu. Hii nafasi inafaa apewe mtu ambaye amewai atleast kua mkuu wa idara na sio nafasi za ki kada.
Yaani uku kwetu sukari 3600 sasa hao wakuu wa mikoa walio agizwa wanaidhibiti vipi...? Mi naona ifike mahali siasa itenganishwe na professional issues maana hili ni swala raisi tu tulisoma darasani demand vs supply Wachumi wangeishauei serekali wanasiasa wakae kimya tu
Natafuta mtu mwenye uzoefu na weledi wa kutosha kusimamia biashara zangu tofauti kwa mafanikio ambayo nayaitaji.
Kampuni ipo tabora mjini hivyo aweze kukaa tabora
Tangazo kama linavyoonekana kenye attachment
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.