Recent content by Baq

  1. B

    Engineers from dit,must are mostly professionally than udsm?

    yaah malengo ndio jambo la msingi
  2. B

    Engineers from dit,must are mostly professionally than udsm?

    yap mitatu ni kwa ajili ya wenye dip tayar but f6 huchukua minne
  3. B

    Engineers from dit,must are mostly professionally than udsm?

    DIT kama hauna dip unapiga miaka minne mzaz acha ushabik
  4. B

    Clouds FM wanawaibia Watanzania kwa kutumia Ujumbe mfupi wa simu

    Hata ukiomba kutolewa huduma kwa wateja hautolew na daily unakatwa zaid ya 450 wanakutumia sms 3 kila moja 150 kutoka mpaka labda utumie lugha kali kwenye mtandao unao tumia
  5. B

    naomba msaada wenu,ni program gani itanifaa kwa degree?

    Kasome Telecommunication mzaz pale DIT
  6. B

    Wale wa DIT tarehe ya kuripoti ni lini

    sasa wewe haikuhusu una acha tutakuban kuwa mkubwa
  7. B

    Wale wa DIT tarehe ya kuripoti ni lini

    Hawaja weka info zozote
  8. B

    VIJANA TAIFA la LEO

    ume elewa nilicho andika ama? Usikurupuke kama haikuhusu plz usicoment
  9. B

    Wale wa DIT tarehe ya kuripoti ni lini

    Naomba msaada wenu tarehe ya kuripoti DIT first year ni lin
  10. B

    VIJANA TAIFA la LEO

    Na maanisha kwamba huu ni wakati ambao vijana tunapaswa kujitambua kwa kuchukua nafasi mbalimbali za uongozi pia tusisubiri ajira tujiajir kupitia ujasiliamali na ujuz tuliopata toka chuoni tusitumiwe na wanasiasa tuangalie kiongoz bora na tusiangalie chama
Back
Top Bottom