Recent content by Bangila

  1. Bangila

    Mtandao wa Vodacom wanaiba kwenye salio la kawaida

    Vodacom ni wezi wao na mmiliki wao. Leo wamweniibia bando ndani ya dakika moja limeisha
  2. Bangila

    Mstaafu ambaye alishastaafu lakini hataki kustaafu 'anastaafishwa'

    Haya walimtabiria Jakaya...leo wanahusanisha na Ndugai
  3. Bangila

    Kuna majina duniani ni kama yamepigwa marufuku sababu yametumika vibaya

    Mwanzo nilifikiri Uzi serious kumbe ni kibonzo!
  4. Bangila

    Huenda ni mwanamke 1 kati ya 10 ndio amewahi kufika kileleni kwa Dar es Salaam

    Tatizo ni kwamba muanzisha thread ni mwanamke wa Kaskazini! ambapo wakina mama wa huko wanakimbilia Kenya kupata huduma ya kujamiiana.
  5. Bangila

    Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali kwa hili umechemka

    Hii idara iangaliwe vizuri kuna urasimu mkubwa sana wa upatikanaji wa nyaraka za serikali hasa kwa tuliopo mikoani. Mbaya zaidi inapelekea baadhi ya taasisi kwenda steshnari binafsi kuprint na ku-bind nyaraka muhimu za serikali na nyingine sensitive Inaendeshwa kizee na kizamani sana. Inahitaji...
  6. Bangila

    DOKEZO Mfanyabiashara wa Magari, Gideon Mlokozi Mashankara amepotea

    Asitekwe Lissu, Mbowe,Mwambukusi au Mdude Nyagali atekwe mtu ambaye hata nyumbani kwake hana ushawishi? kuweni seriuous eti kwa sababu ameandikwa mwanaharakati basi mnaona serikali imemteka! Wafanyabiashara wa magari wengine baadhi yao ni matapeli,wanajihusisha na wizi wa magari na dhuruma...
  7. Bangila

    Natafuta Toyota Premio

    Premio na zinazofanana nazo mkuu
  8. Bangila

    Ilikuwaje Nyerere akamshinda Sykes?

    Mwaka 1954 CCM haikuwepo. Hivyo kama Lissu amesema uliyosema anapotosha
  9. Bangila

    Natafuta Toyota Premio

    Asante mkuu, umeniambia kitu ambacho sijawahi kukijua. Ubarikiwe
  10. Bangila

    Natafuta Toyota Premio

    Ni sehemu ya namba (na herufi) za usajili mkuu
  11. Bangila

    Natafuta Toyota Premio

    Mkuu mie sio dalali
  12. Bangila

    Natafuta Toyota Premio

    nimekuja mkuu
  13. Bangila

    Natafuta Toyota Premio

    Ukiondoa lile toleo la kwanza, haya mengine yote hakuna shida
  14. Bangila

    Natafuta Toyota Premio

    Nashukuru kwa ushauri mkuu nitazingatia
Back
Top Bottom