Hii itakuwa moja ya best bogus government kuwahi kutokea Tanzania!!!
Watu wanakufa na njaa nyie mnarusha matangazo live ya mkuu wa mkoa anagawa pkpk!!!
Watu wanakufa na njaa ww unashupalia Lema asitoke jela hii ni aibu kubwa kwa taifa!!!
Hawa kujipanga kuongoza kabisa mtu anafanya u-comedy all...
Waangalie jinsi BBC inavyofanya kazi hakuna kuipendelea serikali wala chama tawala habari inakuwa balanced kweli!!!
Haya mambo ya kuwa taasisi ya itikadi ndio inakuwa ya mwisho kwa kuangalia na jamii sasa hata watoto wadogo hawaitaki TBC!!!
What I know ni kuwa kama sheria itafuatwa na mihimili ya kutoa haki bila ya kunajisiwa na Ikulu ya Magogoni kama inavyoondelea sasa Lema anastahili kuwa nje hakuna popote ambapo mtu amefungwa kwa kuota au ndoto ikampeleka mtu jela!!!
Bia kama tutasoma vzr sheria zetu hakuna hakimu anaeweza...
Nimeikubali aiseee!!!!
Niliisoma sana ile ya kuuawa kwa Guevara Bolivia na hata Rodriguz ninazo picha zake ndie aliongoza wale Red Barret ambao ndio walimkata Guevara msituni na ndie mtu wa mwisho kuongea na Guevara kumwambia kuwa imeamuliwa uuawe na kumwambia ampe ukumbe wwte wa kumpelekea...
Siku za udhalimu zinahesabika!!!
Hakuna udhalimu unaodumu!!!
Najua hata wanaoshikriki ss pia wameanza kuona hatari ya udhalimu huu!!!
Tutegemee lolote wakati wowote!!!!
Usitegemee haki tena katika mihimili ambayo tayari imesha najisiwa kiasi hiki!!!
Now inayotolewa sio haki ni aibu tu ya watawala wakiona haya ndio wanakubali watuhumiwa waachiwe huru!!!
Katika siasa hakuba adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu!
Zitto ametekeleza anachoona yy ndicho hakuna sababu ya kumuhukumu kwa hili!!!
Kiukweli hakuwa anatakiwa tena ndani ya chadema ndio maana Lissu alianza kumnanga kuwa tyr si mwanachama!!!
Sioni anguko la chadema ila naoba angukola upinzani...
Issue ni mfumo wetu hasa katiba inampa mamlaka kubwa rais kiasi kwamba anaweza akafanya llte na hakuna mtu wa kumuhoji au kumzuia!Hapa hao wote ambao wana mamlaka ya kuchunguza na kupeleka suala mahakamani ni wateule wake hivyo hawawezi kwenda kinyume na yeye!Wasiwasi wangu sidhani kama serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.