Lkn tambua harakati nyingi za kupata uhuru wanchi zilianzia kwenye dini wakina nyerere walikuwa wanatumia jukwaa hili kulibeza kanisa ni ukichaa kumbuka kadinali pengo alivyokuwa anavutana na utawala wa awamu ya nn je uliona jinsi kikwete alivyokuwa anamalizana naye
Endelea kupandikiza ukabila siku moja utajuta ww pamoja na mwenyekiti wako sizonje kuwa mlikuwa mnafikiria matumbo yenu bila kulijali taifa kwani mchaga sio mtz
Kama kweli ww ungekuwa mchambuzi mzuri ungeandika matatizo ya vyama vyote vya siasa vinavyopokea rudhuku bila kubagua chama kwa mantiki hiyo basi unaoneka hajatoa hoja inayofaa kujibiwa kada wa ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.