Vijana wengi wamejikita katika kumaliza elimu na kuanza maisha apate mshahara anunue au apange chumba na kununua gari na ndio basi ameishia hapo. Sio kwamba tuwe na mwenendo wa kuhamasika kuunda mambo mapya...
Ni kwamba mimi ni Mjenzi wa Ndege nina shahada katika Ujenzi aa Ndege na vifaa vinavyoruka hewani, nina Diploma of Success katika Maswala ya Viwanda na Uundaji wa kitu cha aina chochote kile. Sasa mpaka sasa nimeshainda ndege ya kivita, ambayo ni Conceptual. Na kuna mengi zaidi.
Wajumbe hebu tuelezane mapungufu ya vijana wetu
Ni kwamba mimi ni Mjenzi wa Ndege nina shahada katika Ujenzi aa Ndege na vifaa vinavyoruka hewani, nina Diploma of Success katika Maswala ya Viwanda na Uundaji wa kitu cha aina chochote kile.
Naomba itambulike kuwa mpaka sasa nimeshaiandaa ndege...
Na akamzungusha kwa muda usiozidi miaka sita, ilihali mapenzi hayakua ya dhati. Basi na wazazi wakamkubali na hatua zikachukuliwa. Naye binti yule akaanza kutafuta njia, Loh! Aibu itajisambaza na kumpa maumivu.
Mapenzi, 5:78.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.