Recent content by bandama

  1. B

    Livingstone Lusinde: Lowassa unahangaika na kupoteza muda kwa sarakasi zako

    ccm wanamuogopa sana Lowasa,kwaniniiiii whyyyyyyy?
  2. B

    Orodha ya viongozi na wanachama wa CHADEMA Waliomfuata Zitto ACT Tanzania

    hahahahahahhah act tanzania ni puppets tu wa wapinga maendeleo....ni zaidi ya vibudu.... cdm will move on with or without zk.... cdm is not a one man team hands down.
  3. B

    Obama says Netanyahu's Iran speech contains 'nothing new'

    Aiseee kwanini unahaja hio?
  4. B

    Wakristo wasilalamike kwani mahakama za kawaida zinatumia sheria za kikristo (canon court)

    Yule Mungu katika wimbo wetu wa Taifa ni yupi,na yule ambae kabla kuanza bunge, ni yupi?:hand:
  5. B

    Prof. Assad amlipua Magufuli kwa ufisadi uuzaji wa nyumba za Serikali

    duuh kwamana hio hapo tushapigwa changa la macho....
  6. B

    Saed Kubenea anatumiwa na CHADEMA kuidhoofisha ACT-Tanzania

    ACT ni mwendelezo wa ukoo wa panya...
  7. B

    Ufisadi wa Pinda Vibali vya Sukari na Umeme wa Kinyerezi

    waungwana msimseme sana asije akamwaga chozi mtoto wa watu.
  8. B

    Panya Road wavamia maeneo ya Magomeni, Mwananyamala na Kinondoni jijini Dar

    kwasababu za kitelegensia geshi la polisi halijatenga bajeti kudhibiti hizo habari za panya rodi au panya buku...bajeti imeelekezwa kuidhibiti wanafunzi wa vyuo vikuu na UKAWA HUSUSANI CHADEMA...kwahio mpk sasa geshi lipo standibai kuzuia maandamano yote ya chadema aidha yawe nakibali au...
  9. B

    Panya Road wavamia maeneo ya Magomeni, Mwananyamala na Kinondoni jijini Dar

    teh teh teh pipo mnamaneno ya uchokozi?
  10. B

    Ni ahadi gani za mgombea uraisi wa ccm hazijatekelezwa hadi sasa?list them

    hivi yale mabilioni ya kikwete yaliishia wapi?
  11. B

    Hivi Lowassa hana washauri? Naona anapoteza muda na fedha zake bure!

    lowasa na jk wanatofautiana majina, kupenda totozi,na uwepesi wakufanya maamuzi sahihi wakati sahihi,vinginevyo hakuna kipya toka ccm as a whole,ee need overwhole restructuring of organasational shape from top down...UKAWA TEAM IS AN ONLY HOPE WANANCHI EXPECT & Rely on.na sio huu ukoo wa panya...
  12. B

    Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa

    kwakwakwaaa teh teh teh daaah hio comment ni shida....
Back
Top Bottom