Recent content by Banda la Ngozi

  1. B

    Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

    Wazazi wetu wa kiafrika wanashida Sana hasa kina mama,mchezaji mpira wa Togo Emanuel Adebayo alimfanyia vitu vyingi mama yake lakini bado hakuridhika akawa anaungana na wadogo zake Adebayo kumpiga hela tu mpaka jamaa akataka kujiua kwa msongo wa mawazo
  2. B

    *HII ISSUE YA GOOGLE PIXEL NA IPHONE IMEKAAJE?*

    Hizi kampuni ni kama zina ugomvi mimi pia nikimtumia mtu wa iPhone video kuna baadhi zinafunguka na zingine hazifunguki.
  3. B

    Maprofesa, na viongozi waandamizi Tanzania wanakwama kujiari kwa sababu ya kuwekeza fikra kuajiriwa hata wanapostaafu

    Mfumo wa elimu yetu unatufanya tushindwe kujitegemea hata baada ya kufanya kazi kwa miaka yetu 60, unakuta mtu ana master pamoja na CPA na uzoefu wa kazi miaka 40 lakini muambie afungue kampuni yake hawezi ,anategemea kuteuliwa kwenye kamati na vyeo vingine vya kisiasa.
  4. B

    Prof. Mussa Assad: Taarifa ya utenguzi wangu nilipewa siku moja kabla

    Mussa Assad kuendelea kuhojiwa kila mara hakutasimama,na hii ni kwa sababu kunakuwa na media mpya mfano ni hiyo crown FM ,ndio maana unaona ikikaribia Nyerere day vyombo vingi vya habari vinaenda kufanya mahojiano na walewale waliowafanyia mwaka jana hii yote ni Katika kuweka kumbukumbu sawa .
  5. B

    Nina uzoefu wa miaka minne as a Store keeper, stock controller, section controller. Natafuta kazi

    Hapo mchawi ni cheti angalau cha level ya astashahada ,makampuni mengi yanahitaji watu kama wewe ila sasa mfumo wa ajira Tanzania unaamini sana katika cheti kuliko utendaji wa mtu ungapambana usome certificate ya store ingekusaidia zaidi.
Back
Top Bottom