Recent content by Bana Balume

  1. Bana Balume

    Mnaorusha cheche kwenye petroli ikiwaka tusikimbiane

    Hamna kinachoshindikana chini ya jua, tena kwa hili ni swala dogo tu linalohitaji muda ipo siku hao wanaopokea hizo amri haramu watakuja ku realise wanakoelekea siko hapo ndipo tutaimba wimbo mmoja
  2. Bana Balume

    Mnaorusha cheche kwenye petroli ikiwaka tusikimbiane

    Ni kweli vita haina macho na wala hatuipendi na ndio maana tunahitaji kuwaondoa na kuwaajibisha wale wanaoenda kuisababisha kwa kuiminya haki ila wameweka pamba masikioni
  3. Bana Balume

    Mnaorusha cheche kwenye petroli ikiwaka tusikimbiane

    Tunafanya vitu kwa wakati tunaotaka sisi sio kwa wakati unaotaka wewe chawa
  4. Bana Balume

    Mnaorusha cheche kwenye petroli ikiwaka tusikimbiane

    Kuna watu wengi wanaona sifa kubeza na kutoa dhihaka kwa kuwa kilichotakiwa kutokea 9 Dec haikuwa kama ilivyotarajiwa lakini hawajui kuwa wanachofanya ni kurusha cheche kwenye ghala la petroli na ikitokea imewaka this time itakuwa mbaya zaidi maana watu wametulia lakini eleweni bado wana hasira...
  5. Bana Balume

    Nini kitafuata ikiwa maandamano ya D9 hapo kesho hayatofanikiwa?

    Mbona maandamano yashafanikiwa ni sisi kuamua kesho tuhitimishe au tuwaache wale sungusungu waendelee kujianika juani then tuwa pige na butwaa next time
  6. Bana Balume

    Angalizo wanaoshikiwa akili na Wanaharakati njaa wa Tanzania

    Unajua kwanini inakuumiza? Kwa sababu hutulii, ungetulia ingeingia taratibu wala usingeumia kiasi cha kutoa povu lote hili
  7. Bana Balume

    PostGE2025 Magari ya matangazo yasambazwa mtaani kutoa taarifa kwamba watu wasiandamane. Hii imekaaje? Ni uoga au paranoia?

    Watu wa mtandaoni wana ule msemo wao "kadri upepo wavyozidi kupuliza ndivyo kinyeo cha kuku kinavyodizi kuonekana"
  8. Bana Balume

    PostGE2025 Marekani: Watanzania waandamana kwenye ubalozi wa Tanzania

    Unafikiri ukiandika kwa maherufi makubwa ndio utapata attention, wewe tulia hiyo kitu itaingia taratibu mpaka usikie ipo tumboni
  9. Bana Balume

    PostGE2025 Video : Joto la maandamano lazidi kupanda kanda ya ziwa

    Tulia ukihangaika itazidi kukuumiza
  10. Bana Balume

    PostGE2025 Kabla ya Uchaguzi tuhuma za Utekaji na kuua Wapinzani wakati wa Uchaguzi Kuua Waandamanaji. Hana pa kuponea

    Sad thing ni kwamba huyu anaweza hata kuhonga rasilimali za nchi kwa mabeberu ili hilo lisimkute
  11. Bana Balume

    Bado tupo kwenye narrow AI si ajabu tishio la AI kwa sasa halionekani kubwa sana kati yetu ila tunapo elekea wengi tutaimba wimbo mmoja

    Nimezicheki zote mkuu, tena wiki iliyopita tu hapo nimetoka kuangalia terminator ya 2015, skynet kule ndio imetumika kuwakilisha kama hii AI ya sasa. Kinacho nistaajabisha kingine kwenye hii tech ya sasa ni virtual reality tech sahivi watu wanauwezo wa kununu virtual assets kwenye virtual...
  12. Bana Balume

    Bado tupo kwenye narrow AI si ajabu tishio la AI kwa sasa halionekani kubwa sana kati yetu ila tunapo elekea wengi tutaimba wimbo mmoja

    Vipi kuhusu hizo robots zinazopewa akili ya utambuzi na ku interact na binadamu ikitokea zikaenda kinyume na matakwa na binadamu ikiwa tayari zimepewa uwezo mkubwa wa kujifunza na kutenda mambo physically itashindwa kujidevelop yenyewe ktk upande wa hardware maana mpk sahivi AI yenyewe...
  13. Bana Balume

    Bado tupo kwenye narrow AI si ajabu tishio la AI kwa sasa halionekani kubwa sana kati yetu ila tunapo elekea wengi tutaimba wimbo mmoja

    Kipindi kile tunaangalia zile popular movies kama totol recall na RoboCop tunasema ni science fiction tu, lakini ndio hivyo vinatokea sasa
  14. Bana Balume

    Bado tupo kwenye narrow AI si ajabu tishio la AI kwa sasa halionekani kubwa sana kati yetu ila tunapo elekea wengi tutaimba wimbo mmoja

    Bado Kuna zile brain chip ambazo zinakuwa planted kwenye ubongo wa binadamu kuupa uwezo kama wa computer kuwasilana direct with other external devices, hapa tunajiuliza kuhusu AI iliyopo kwenye simu na computer wakati wenzetu washafikia hatua ya kuzipandikiza kabisa kwenye ubongo wa mwanadamu...
Back
Top Bottom