Hoja ya vivianet nimekuwa naitafakari sana.baadhi ya wezi wa kura wakatoliki pengine wataungama kwa Padre,lakini dhambi kamahiyo huondoka kwa kujiuzulu! Mbingu wengine wataishia mbingu ya Chamwino/magogoni
Ni hivi, kwenye kampeni ccm mlisema cdm wanakwamisha maendeleo kama kawe na bunda.sasa crimea na wenzio chukueni viti hivyo msije sema cement inapanda bei tokana na cdm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.