Recent content by Ban Yisrael

  1. B

    Nguvu ya Job Ndugai ilivyowasambaratisha Prof. Assad, Makonda, Tundu Lissu, Mbowe na Mpina!

    Mtoa mada una certificate ya kutetea uovu! Hivi mlokole wewe hiyo mbingu utaiona?
  2. B

    Humphrey Polepole: Natoa rai kwa vyama vya siasa kuheshimu nafasi wanazopewa Wanawake

    Eti polepole anavishauri vyama! Si yeye kawaita corona,misulule.mmeengua wagombea mmeiba kura nk kwanini kuwawaza cdm?
  3. B

    Star TV mbona mnakatisha matangazo ya BBC Dira ya Dunia?

    Baptist bhana eti unajifanya hujui kipenzi chako jiwe anataka sifa tu na ibada?hataki kosa lake litamkwe
  4. B

    Kwa wana CCM wacha Mungu: Je, mnaamini mmeshinda kihalali na uchaguzi ulikuwa huru na wa haki? Kila mmoja wetu atasimama mbele za kiti cha hukumu

    Hoja ya vivianet nimekuwa naitafakari sana.baadhi ya wezi wa kura wakatoliki pengine wataungama kwa Padre,lakini dhambi kamahiyo huondoka kwa kujiuzulu! Mbingu wengine wataishia mbingu ya Chamwino/magogoni
  5. B

    Gobless Lema umetukosea sana, lakini tutakusamehe

    Wewe na Lema kunani? Umeishiwa nyimbo kumsifu jiwe? Acha kushiriki dhambi za wauaji ulizonazo zinakutosha
  6. B

    Kwanini ACT-Wazalendo wanaishitaki Serikali ICC badala ya Mahakama ya Afrika Mashariki? Huu ni uzalendo?

    Mlokole baptist unaweza usiione mbingu kwa kuitetea ccm bila kuchuja mema na maovu!
  7. B

    Kwanini sisikii kesi za Wagombea Ubunge upinzani kudai kuibiwa ushindi?

    Wakienda mahakamani watawatafutia mahakimu ujaji.ukimnyongea mpinani unapanda cheo.
  8. B

    Je, Freeman Mbowe akiteuliwa na Rais kuwa mbunge atakataa au mnawabania tu wabunge wa BAWACHA?

    Fahamu tu bwashee kuwa kwa yaliyofanywa kwa uchaguzi huu hata maccm mkipeana mkono na sisi tunaenda kunawa.
  9. B

    Jenerali Ulimwengu: Hakukuwa na Uchaguzi huru na haki

    Eti ccm wanashangilia ushindi wakati Mneiba.sijui hiyo dhambi ntaitubu wapi kwani toba pekee ni kurudia uchaguzi
  10. B

    Kwanini ACT-Wazalendo wanaishitaki Serikali ICC badala ya Mahakama ya Afrika Mashariki? Huu ni uzalendo?

    Wewe mbatizaji unawatetea wauaji na ulokole wako wote? Lengolako dunia isisikie?
  11. B

    GE2020 Niliyoyaona kwenye Uchaguzi huu yanatisha

    Kwa wizi huo hiyo dhambi mtaitubu wapi,au Mungu mnadhani anachukulia poa? Hata mkiungama haisameheki labda muungame kwa mliotuibia
  12. B

    GE2020 Freeman Mbowe usiwanyime wengine Ubunge kisa wewe hujashinda

    Ni hivi, kwenye kampeni ccm mlisema cdm wanakwamisha maendeleo kama kawe na bunda.sasa crimea na wenzio chukueni viti hivyo msije sema cement inapanda bei tokana na cdm
  13. B

    Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

    Jpm alishasema wapinzani wanamzuia asilete maendeleo.ccm kaeni na bungelenu kama mlivyopora uchaguzi mridhike
  14. B

    GE2020 Lissu adai kucheleweshwa KIA makusudi na TCAA

    Hivi ukiwa ccm lazima uunge mkono dhilma? Johnthebaptist mlokole wewe unaweza kuishia mbingu ya lumumba tuu
Back
Top Bottom