Recent content by BAN KIMOON

  1. B

    Kumchagua Daniel Naftal kuwa mwenyekiti wa BAVICHA taifa ni sawa na kuizika bavicha

    Mwaka huu, majungu na fitina havina nafasi kwenye uchaguzi wa BAVICHA.Bila kutoa uthibitisho wa tuhuma zako tutakuona MPUUZI, na tutazipuuza propaganda zako
  2. B

    Watanganyika mnatuharibia Zanzibar

    Leta takwimu acha porojo.Wazaibar wanachangia kiasi gani?
  3. B

    Watanganyika mnatuharibia Zanzibar

    Kwa taarifa yako, Zanzibar ndo inahitaji zaidi Tanganyika. Mi mwenyewe niko huku Zanzibar, hakuna production kabisa.Watu wazima wanashinda vijiweni huku mnaita "maskani" asubuhi hadi jioni.Mishahara yetu kwenye taasis za Muungano na wale wazanzibar waloajiliwa na TANGANYIKA ndo inasaidia...
  4. B

    Uchaguzi BAVICHA: Kwanini namuunga mkono Daniel Naftal?

    Uchaguzi huu wa BAVICHA tunatazama zaidi hoja na uwezo wa mgombea.Wale wataalamu wa kuibua kashfa bila ushahidi huku CDM si kwao, tabia hizo wazipeleke kwao Lumumba. Ukimuibulia mgombea tuhuma, tutakuona KILAZA na MAMLUKI kama hutaleta ushahidi wa tuhuma zako.
  5. B

    Uchaguzi BAVICHA: Kwanini namuunga mkono Daniel Naftal?

    Zikiwa zimebaki takribani siku 12 kuelekea uchaguzi mkuu BAVICHA, joto la uchaguzi limewapanda wengi wa wagombea na wapambe wao. Katika viunga vya mtaa wa Ufipa na maeneo mengi nchini, mjadala ni juu ya mgombea tishio katika nafasi ya Mwenyekiti ambaye ni ndugu Daniel Naftali, wengine wamefikia...
  6. B

    Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBS Bwana Charles Ekerege Ahukumiwa kwenda jela

    Na wengine wamfuate, maana wapo wengi
  7. B

    Mahekalu ya maaskofu kufuru

    Yetu macho
Back
Top Bottom