Recent content by bampa 2 bampa

  1. bampa 2 bampa

    Hivi unamkamataje Tido Mhando unawaacha hawa?

    Hivi ujenzi wa hostel tenda zilitangazwa au akinya bata kaharisha akinya kuku yeye mmh
  2. bampa 2 bampa

    Kilichomponza Tido Mhando ni uzalendo wake

    Eti. huku walio kiri wanakula bata mtaani wapi ngeleje wapi tibaijuka wapi change unachekesha kweli stuka wewe
  3. bampa 2 bampa

    Wolper afunguka pesa itayogharimu harusi yake

    Halafu baadae waje kulia kulia kama yule[emoji24] [emoji24] [emoji24]
  4. bampa 2 bampa

    Waziri wa Habari, Mwakyembe (akiwa Star TV): Serikali haiteki wananchi wake

    Wahalifu wanateka wanao kosoa serekali tu na kawapiga risasi
  5. bampa 2 bampa

    Nairobi, Kenya: Tundu Lissu aituhumu Serikali ya Tanzania kwa jaribio la kutaka kumuua na Bunge kutomhudumia Matibabu

    Vipi si mmeachiwa mshinde sasa nduru za nn.mnataka watu wapande jukwaani ili muanze kuwakata mapanga kama ule uchaguzi ulio pita
  6. bampa 2 bampa

    Wema Sepetu na Mohombi mambo ni motooo!

    Halafu baadae waje wasema rais apiteshe muswada wa kuoana kwa nguvu huku hio kitu imeshatumika imebaki kuwa ngumu kama tairi
  7. bampa 2 bampa

    Mch. Francis Mbalase: Kama mnajua kuombewa mjue pia na kutubu

    Akiambiwa akatubu anakua mkali kama koboko [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  8. bampa 2 bampa

    Mch. Francis Mbalase: Kama mnajua kuombewa mjue pia na kutubu

    Tulia dawa iwaingie mkisifiwa kimya mkikosolewa mnakuja na konjera
  9. bampa 2 bampa

    Mch. Francis Mbalase: Kama mnajua kuombewa mjue pia na kutubu

    Sisi waislam tuitie pilau tu aise mengine sisi hayana mashiko
  10. bampa 2 bampa

    Askari polisi aliyemuua askari wa JWTZ amekamatwa akijaribu kujiua.

    Huyo askari ni kenge kweli sasa kama alitaka kufa SMG si alikua nao aliituma ya nn angejimaliza tu mbona
Back
Top Bottom