Recent content by Bamba92

  1. B

    TAKUKURU yawataka Zacharia Hans Pope na Frankline Lauwo Kujisalimisha

    Takukuru Bwana...kuna wabunge walileta ushahidi wa RUSHWA kwa kununuliwa kwa Madiwani tena kwa kebehi mtuhumiwa akajigamba adharani baada ya muda akapandishwa cheo wala hatukusikia mkitangaza Dau...acheni kutugombanisha Watanzania, tuacheni na dhiki zetu,tuacheni,msituchonganishe,maisha magumu...
  2. B

    Prof. Mark Mwandosya aenguliwa Uenyekiti Bodi ya chuo cha Mwalimu Nyerere; nafasi yake apewa Stephen Wasira

    Mr president pongez kwa kazi nzur unayoendelea kufanya, ila ifike wakat hawa wazee wapumzike sasa huyu wasira toka enzi za nyerere yupo asee!! Hizi nafasi zetu izi mzee wasira...! Mwambie JPM kuna wajukuu zangu nao wape nafas
  3. B

    Orodha ya Waombaji waliodahiliwa na Chuo zaidi ya kimoja

    Ingia kwa profile yako ya chuo ulichoomba mfano udsm,udom,saut ukiwa not selected wanakupa taarifa ukiwa selected pia unaona
  4. B

    Orodha ya Waombaji waliodahiliwa na Chuo zaidi ya kimoja

    Wakuu ivi kwa aliye chaguliwa chuo kimoja tu kuna haja ya Ku confirm?
Back
Top Bottom