Takukuru Bwana...kuna wabunge walileta ushahidi wa RUSHWA kwa kununuliwa kwa Madiwani tena kwa kebehi mtuhumiwa akajigamba adharani baada ya muda akapandishwa cheo wala hatukusikia mkitangaza Dau...acheni kutugombanisha Watanzania, tuacheni na dhiki zetu,tuacheni,msituchonganishe,maisha magumu...
Mr president pongez kwa kazi nzur unayoendelea kufanya, ila ifike wakat hawa wazee wapumzike sasa huyu wasira toka enzi za nyerere yupo asee!! Hizi nafasi zetu izi mzee wasira...! Mwambie JPM kuna wajukuu zangu nao wape nafas
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.