we mzee!mbon unataka kuleta itikadi za ujuaj xana!kwan mi 2014 nikipost jins ya kujiunga veta we inakuhusu nn?kwa nn ucwapishe wataalam wajibu hii post?au unaona raha xana kuwakatisha tamaa wenye nia ya dhati ya kuwasaidia watanzania wenzao?mzee mi nina wacwac na ww! Ucpanic mzee naomb nijibu...
.....thanx!! Sentor unakacofidenc xan mzaz! Keep it up....lkn inawzkna hujtambui kuwa na ww unamapunguf, kwa mtazamo wang naona unaweza xana kuleta +ve changes ktk jamii lkn endapo soon utamuona mshaur wa kisaikolojia! Lkn hamna noma ukinreply nikukonect na watalaam au hutak kutimz ndoto zako?
baad ya kusubir matokeo kwa shauk kubwa ss kila k2 hadharan kwa wale wenye zali la mentali tunachosubr kwa ss ni lin post zitatoka na shule gan tutapangiw vlvl kwa wanaofahamu naomba kuorodheshewa topic za advance zilzopo kwy comb ya PCM nanivitabu gan essentials vinavyotakiwa ili uweze kuwa...
wkt natumia voda intanet nilikuwa nawez kuwatch videos ambazo format zake cm inasuport bt since nianze ku2mia airtel intanet inakata kabsa it look lyk airtel hawajahost hii progm??...any idea pls!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.