Recent content by balimar

  1. balimar

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, jitafakari kwa kina kama bado unafaa kuendelea kuwa ofisini

    Majungu. Mkute muulize ofisini kwake. Hizo ni ofisi za umma na umma ndio wewe
  2. balimar

    JamiiForums Tanzania Hata kama wanabeba Hivi unaweza kubeba watu wote hawa kila mkoa ? 😳

    Shule za kata is not common
  3. balimar

    JamiiForums Tanzania F4 five vs OD labaratory tech

    Heshimu mitazamo ya watu Watu wanatumia bundle kukushauri
  4. balimar

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa Udahili wa Mwaka 2025/26 Umekuwa Kandamizi: TCU Acheni Watu Waamue Wanaenda Wapi

    Kwahiyo wote mkichagua kozi moja kozi nyingine asome nani??
  5. balimar

    JamiiForums Tanzania Serikali mkitaka mabasi ya mwendokasi yadumu nyie fungeni SPEED GAVANA

    Ziitwe gari za mwendo pole
  6. balimar

    JamiiForums Tanzania Kwanini kwenye Biblia hatuwaoni Wasanii bali tunaona Wanasiasa, Wanajeshi, Wanasheria, Waandishi, Mapolisi na Watoza Ushuru?

    Wapo walicheza walipoambiwa waombe watakalo wakataka kichwa cha yohana mbatizaji Wengine walikuwa mamiss wale akina ester wa modekae
  7. balimar

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Mvutano wa Jerry Muro alivyokuwa mkuu wa Wilaya ya Arumeru na mkurugenzi wake Dkt. Mahera

    Unaweza mkoromea boss wako wa kesho unknownly Kesho mnakutana kwenye mishe unanawa mikono hewani bila maji
  8. balimar

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia aongoza kikao cha uteuzi wa wagombea wa Ubunge na Baraza la Wawakilishi

    Rais raha bwana kila siku vikao Na mimi naomba niwe rais
Back
Top Bottom