Jamani wana Jukwaa la Kilimo nahitaji kujua inakosti kiasi gani kufungiwa hii mipira kwenye shamba la nusu heka? Na je, nawapateje wanao funga ile mipira?
Kiongozi hawezi kubadilisha uchumi wanchi kama wananchi hawajabadilika, katika mambo kadhaa, kama kufanya kazi kwa bidii, kubadili mtizamo kwa kuacha kutegemea kuajiriwa kisha kujiajiri, na kuachana na kulalamika kijiweni kwa kisigizio hakuna kazi.
Hata aje malaika kutuongoza watanzania bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.