Recent content by balibabambonahi

  1. balibabambonahi

    Djigui Diarra afungiwa mechi Tatu na faini ya Tsh. Milioni 4

    Hakuna. Maambo ya kuiga iga tu na fikra za hovyo. Nikionesha ulimi ni tusi au kidole cha kati siyo sehemu ya mwili
  2. balibabambonahi

    Kwema waungwana? Naomba kufahamu hivi nini kilipelekea enzi zile Askofu Gwajima kupishana/kumtupia maneno Kardinali Pengo ?

    Issue ta msingi ilikuwa katiba mpya lakini kililipua bomu ni walaka wa TEC. Huu walaka ulisomwa makanisa yote lakini Pengo alijitokeza hadhaharani akaupinga. Hii ndo iliyomchefua Shehe Chid akamlipa Pengo jumla jumla.
  3. balibabambonahi

    David Evance Komba: Tanzania haiwezi kushtakiwa ICC kwa matukio ya Oktoba 29

    Yuko sahihi kabisa. Mamlaka ya ndani kama ipo na ina uwezo wa kushughulikia ICC haiwezi kuingilia, 2008 Kenya kulikuwa na pande mbili ambazo zilikuwa zinashutumiana na wote walikuwa serikalini ndiyo maana Ocampo akalazimika kuingilia
  4. balibabambonahi

    Kwanini Israel iliwasaidia makaburu Africa kuua watu weusi?

    Lakini wapo mpaka waarabu na Wadruze wote ni raia wa Israel.
  5. balibabambonahi

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    Obote alimuondoa Kabaka Mutesa, Idd Buzimba akamuondoa Obote, baada ya kuondolewa Idd Amin akaingia Rule mara Binaisa, Obote tena, Obote akaondolewa na Okello Okello akalambwa na M7 alias Kamukama
  6. balibabambonahi

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    C Cecafa uharo tuu, iko wapi leo
  7. balibabambonahi

    Kwanini Israel iliwasaidia makaburu Africa kuua watu weusi?

    Waisrael ni raia wa Israel na Raia wa Israel siyo wote wayahudi. Ulichoongelea wewe ni wayahudi. Waisrael wapo watu weusi, wapo waarabu, wapo wakristo nk.
  8. balibabambonahi

    Kwanini Israel iliwasaidia makaburu Africa kuua watu weusi?

    Israel kama taifa limezaliwa 1948,na hapohapo wakaingia vita zisizoisha na waarabu 1948,1956,1966,1973 na baadaye intifadha. Ni nguvu gani angekuwa nayo kusaidia makaburu?
  9. balibabambonahi

    Mix by Yas na NMB bank nimeshindwa kuwaelewa

    Yaani wamenichosha, ukienda wanapretend kama haiwahusu hata form waliipoea kishingo upande
Back
Top Bottom