Hii meli nikiipanda mara kadhaa kwani wakati huo nilikuwa nasoma Nsumba SS.Wakati inazama tulipata taarifa na tukawa tunaenda kutazama kutokea upande wa Bwiru,meli ilikaa bila kuzama ikiwa imepinduka kwa muda mrefu nadhan mpaka mida ya jioni.Habari zilizokuwepo ni kwamba ,boss wa Kamanga ferries...
Mawazo ya mtoa amri ni kwamba kwa kuwa watu walikuwa wanagonga na kuita kwa ndani baada ya kutoboa ingekuwa rahisi kuwatoa kupitia hilo tundu.Kilichotokea maji yalianza kuingia kwenye meli kupitia hilo tundu,u anaambiwa alitolewa watu 3 tu mambo yakaharibika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.