Tatizo wabongo ni kujitia ujuaji na huku hawajui lolote Sasa kwenye ushahidi wa kina Katuga Kuna nini cha maana.kesi ya Thomas Zangira inaweza kuwa precedence nzuri maana ilikuwa na tungible evidence sasa haya ya kuungaunga Yana uzito Gani? Wabongo uelewa mdogo sana.Eti mtu anweza kunyongwa kwa...
Lissu ndo anawaita hao mahakamani atanyingwaje na yeye ndo anafanya examination in chief.Ushahidi siyo utashi wa mtu,ushahidi ni kile kilichotokea.Acheni mahaba na ushabiki wa kisenge.Kumbuka Katuga na wenzaje ndo wana burden of proof beyond reasonable doubt.Msilete mambo yenu hapa,Lissu hana...
Ni duka tu kaka,Jana nilimwambia ana mimba sijui ndi alikasirika maana tulikubaliana anarudi na alinunua maji nikamwambia ayaache nimuwekee kwenye friji akakataa.Tatizo hata jina hakuniambia na anakaa kwanani hakusema.najihisi mkiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.