Recent content by balibabambonahi

  1. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Diwani Athumani amewekwa detention?

    Rip huyo
  2. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Naanza kuamini kuna hujuma dhidi ya Rais Samia

    L na R zinakataa
  3. balibabambonahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kujizuia jamani

    Njoo nikupe
  4. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Anna Makinda: Lissu sio wa kwenda kuhojiana naye, ni wa kwenda kukubaliana naye anachosema

    Afadhari mama umesema.we neo mama lile libgine Hoh
  5. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    Misulupwete Mzigowa pumbu .Mboonile
  6. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Hizi ni ajali tatu zilizoniachia kumbukumbu mbaya zenye simanzi kwenye akili yangu

    Hii haikuwa ajali,ni mpango
  7. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

    Huu ni uongo mtupu.MV Victoria siku ya tukio ilikuwa Bukoba.Kuzama kwa meli kulitokea jioni kama saa tisa.Amri ya kuitoboa ikitoka kwa mkuu wa mkoa.
  8. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

    Aliyetoa amri meli itobolewe ni mkuu wa mkoa wa Mwanza,major general James Luhanga na ilitolewa muda baada ya kupinduka
  9. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Msigwa hapaswi kupewa heshima ya kurudi CHADEMA. Anapaswa kupewa Uanachama wa kawaida chini ya Uangalizi Maalum

    Hakuna katika nchi hii asiyejua maovu na madudu ya ccm.Hakuna haja ya kumkumbatia m5u ilin akwambie jambo unalolijua.
  10. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    Hii meli nikiipanda mara kadhaa kwani wakati huo nilikuwa nasoma Nsumba SS.Wakati inazama tulipata taarifa na tukawa tunaenda kutazama kutokea upande wa Bwiru,meli ilikaa bila kuzama ikiwa imepinduka kwa muda mrefu nadhan mpaka mida ya jioni.Habari zilizokuwepo ni kwamba ,boss wa Kamanga ferries...
  11. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Major General James Luhanga alishafariki na yeye
  12. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Mkuu wa mkoa alikuwa jenerali wa jeshi,nadhan kama mwenyekiti wa usalama wa mkoa alitumia mamlaka yake vibaya
  13. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    Mohamed Ally hakuwa mwanasiasa lakini alipinga vita ya Vietnam
  14. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Mawazo ya mtoa amri ni kwamba kwa kuwa watu walikuwa wanagonga na kuita kwa ndani baada ya kutoboa ingekuwa rahisi kuwatoa kupitia hilo tundu.Kilichotokea maji yalianza kuingia kwenye meli kupitia hilo tundu,u anaambiwa alitolewa watu 3 tu mambo yakaharibika.
Back
Top Bottom