Recent content by balibabambonahi

  1. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Kamrepoti polisi wampe cybercrime akahangaike nao.CPA kifungu namba 7 inatoa mamlaka kwa raia kurepoti uhalifu uliotenswa au unakaribia kutendwa
  2. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Naomba anayemjua Dr mzuri wa ENT Dsm

    Nenda TMJ pale jirani na Aghakan shuleni
  3. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Aomba kupelekwa polisi baada ya kugonga gari la gharama

    Kama ana leseni na toyo ina bima aende pooisi atalupa fine tu na huyo mwenye gari atalipwa na bima.Hakuna kufungwa Wala nini.Fine uenyewe 20k tu
  4. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania AI: Lissu akifungwa kwa uhaini kutakuwa na taharuki kubwa, maandamano na vurugu za kiusalama.

    Hakuna hatia hapo,watawala wanataka nusu mkate
  5. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Tatizo wabongo ni kujitia ujuaji na huku hawajui lolote Sasa kwenye ushahidi wa kina Katuga Kuna nini cha maana.kesi ya Thomas Zangira inaweza kuwa precedence nzuri maana ilikuwa na tungible evidence sasa haya ya kuungaunga Yana uzito Gani? Wabongo uelewa mdogo sana.Eti mtu anweza kunyongwa kwa...
  6. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    Jana aliingia ndani hadi akaniomba nimchikue video sijui alitaka kupost wapi.Mpaka saa hizu simuoni
  7. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    Mimi siyo kijana,ni mtu m Atakuwa alikasirika nilivuomwambia ana mimba,ila alikuwa anatematema mate
  8. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    Mimi siyo kijana,ni mtu mzima
  9. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa majeshi (CDF) na IGP wakienda mahakamani Lissu atahukumiwa kunyongwa

    Lissu ndo anawaita hao mahakamani atanyingwaje na yeye ndo anafanya examination in chief.Ushahidi siyo utashi wa mtu,ushahidi ni kile kilichotokea.Acheni mahaba na ushabiki wa kisenge.Kumbuka Katuga na wenzaje ndo wana burden of proof beyond reasonable doubt.Msilete mambo yenu hapa,Lissu hana...
  10. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    haPana kaka,ni huyo Siwez kumtafuta kwakuwa sina namna ya kumtafuta na msamaha siwezi kumuomba kwani hajasema kam nilimkosea
  11. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    haPana kaka,ni huyo tu
  12. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    Itabidi nijisahaulishe ingawa ni ngumu .Mpaka sasa hajatokea,au hakuwa mtu
  13. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    Tatizo nilikuwa nikimuona najihisi kumpenda hafu chini yaani nasisimkwa.tatizo hata hajasema anakaa wapi.nisipomuona Leo itabidi nizoee tu
  14. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Nipo gheto kwa demu wangu, nimechelewa kuamka, dingi yake yupo nje nifanyaje?

    Najua ulifanikiwa kuchomoka.Kama bado,mwambie demu akamuweke bizy dingi yake hafu unachomoka tu
  15. balibabambonahi

    JamiiForums Tanzania Alikuwa anakuja hapa ofisini tunapiga story Leo simuoni nahuzunika

    Ni duka tu kaka,Jana nilimwambia ana mimba sijui ndi alikasirika maana tulikubaliana anarudi na alinunua maji nikamwambia ayaache nimuwekee kwenye friji akakataa.Tatizo hata jina hakuniambia na anakaa kwanani hakusema.najihisi mkiwa
Back
Top Bottom