Recent content by balibabambonahi

  1. balibabambonahi

    Je, ni kweli Dr. Karl Peters aliruhusiwa kuingia Tanganyika na Sultan wa Oman aliyeishi Zanzibar? Je, Karl Peters alisali KKKT Azania Front?

    Google inatamka wazi Peters alikuwa mtoto wa mchungaji wa kiluteri.Alipopelekwa Kilimanjaro ni kweli aliua sana akina mangi na kuna jamaa lilingia bomani likachakata mmoja wa mademu zake,Dk alimnyonga jamaa hadharani.Alimnyonga pia mmoja wa mademu zake aliyemhisi kuwa spy.
  2. balibabambonahi

    Je, ni kweli Dr. Karl Peters aliruhusiwa kuingia Tanganyika na Sultan wa Oman aliyeishi Zanzibar? Je, Karl Peters alisali KKKT Azania Front?

    Carl Peters aliondolewa kwenye utawala wa Afrika Mashariki ya ujeruman 1888 baada ya vita vya Abushir.Alipelekwa Zanzibar na akapewa kazi ya kuweka mpaka kati ya GEA na BEA,baadaye alisababisha maafa kule Kilimnjro wajeruman wakaja kuchapwa na mangi Meli.Ikabidi arudishwe kwao alipata kashfa...
  3. balibabambonahi

    Tujikumbushe kidogo Dkt. Karl Peters na Mikataba ya Kilaghai

    Carl Peters tuko naye pamoja na Mwamba Bismarck tuko nao hapa Hamburg
  4. balibabambonahi

    Je, ni kweli Dr. Karl Peters aliruhusiwa kuingia Tanganyika na Sultan wa Oman aliyeishi Zanzibar? Je, Karl Peters alisali KKKT Azania Front?

    Hata ukristo ulianzia Zanzibar,enzi hizo mamlaka pekee iliyokuwa rasmi inatambulika kwa wakubwa wa Ulayana hata America ilikuwa ni usultan wa Zanzibar na Oman na baada ya 1856 ni usultan wa Zanzibar.Kila akiyetaka kuingia mriama lazima apite Zanzibar.Unapewa ruksa,ulinzi na wasaidizi ndo...
  5. balibabambonahi

    Je, ni kweli Dr. Karl Peters aliruhusiwa kuingia Tanganyika na Sultan wa Oman aliyeishi Zanzibar? Je, Karl Peters alisali KKKT Azania Front?

    Kama dk Karl peters alikuwa mluteri na alikuwepo Dar Es Salaam hadi 1902 ambako kanisa lilianza kutumika basi Dk alisali hapo.
  6. balibabambonahi

    Je, ni kweli Dr. Karl Peters aliruhusiwa kuingia Tanganyika na Sultan wa Oman aliyeishi Zanzibar? Je, Karl Peters alisali KKKT Azania Front?

    Sultan wa Oman na Zanzibar alikuwa Seyyid Said alifariki 1856 na himaya yake ikagawqnyika mwanae mmoja Majid akarithi ZanZibar na Afrika mashariki.Mwingine Thuwain akarithi Oman.Kuanzia hapo wakawa maadui.Sultan Majid alirithiwa na Barghash na huyo ndo alikutana Karl Peters.
  7. balibabambonahi

    Tujikumbushe kidogo Dkt. Karl Peters na Mikataba ya Kilaghai

    Chief Chief analaumiwa bure tu,wakati ulikiwa umefika hakukuwa na namna Hata Meneliki ii aliyekomaa na kudindda 1935 Ethiopia alikaliwa na Mussolini hadi 1941.Na leo wote tunaburuzwa na wazungu..There was nothing else Mangungo shuold have done.
  8. balibabambonahi

    Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

    Mbona Imeandikwa kwamba Yesu ni njia ya pekee kufika Mbingu? Kwa hyo treni ndo njia ya kweli ya kuifika mbingu ya huko?
  9. balibabambonahi

    Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

    Njia ya mbingu ni nyembamba sana.
  10. balibabambonahi

    Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

    Mh ndo utafika mbingu?
Back
Top Bottom