Issue ta msingi ilikuwa katiba mpya lakini kililipua bomu ni walaka wa TEC. Huu walaka ulisomwa makanisa yote lakini Pengo alijitokeza hadhaharani akaupinga. Hii ndo iliyomchefua Shehe Chid akamlipa Pengo jumla jumla.
Yuko sahihi kabisa. Mamlaka ya ndani kama ipo na ina uwezo wa kushughulikia ICC haiwezi kuingilia, 2008 Kenya kulikuwa na pande mbili ambazo zilikuwa zinashutumiana na wote walikuwa serikalini ndiyo maana Ocampo akalazimika kuingilia
Obote alimuondoa Kabaka Mutesa, Idd Buzimba akamuondoa Obote, baada ya kuondolewa Idd Amin akaingia Rule mara Binaisa, Obote tena, Obote akaondolewa na Okello Okello akalambwa na M7 alias Kamukama
Waisrael ni raia wa Israel na Raia wa Israel siyo wote wayahudi. Ulichoongelea wewe ni wayahudi. Waisrael wapo watu weusi, wapo waarabu, wapo wakristo nk.
Israel kama taifa limezaliwa 1948,na hapohapo wakaingia vita zisizoisha na waarabu 1948,1956,1966,1973 na baadaye intifadha. Ni nguvu gani angekuwa nayo kusaidia makaburu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.