Natamani kusikia mapadri na maaskofu wakimpinga papa kwa wingi ili ashindwe wa kumfukuza na mwisho wa siku papa ajiuzulu nafasi hiyo kwani imeanza kumpwaya
Huyu papa sio analigawa kanisa Catholic......sasa kama watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja wanaweza kusimamia ndoa........inamaana ili usimamie ndoa silazima na nyie muwe mmefunga ndoa.....inamaana sasa soon roman catholic wataanza kufungisha ndoa za wapenzi wa jinsi moja (mashoga)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.