Recent content by Bal

  1. Bal

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Jerry Muro ' ajilipua ' kwa kuwatolea Uvivu Viongozi wa Yanga SC, Kocha Mwinyi Zahera na Msemaji Dismas Ten

    Maneno ya mkata tamaa haya..... (Ni sawa na kusema wote tutakufa tuu, wakati mwenzako anakula maisha) Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duuuu, ngoja nichochole kwingineko Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nilipotea zaidi ya miezi mi2.5 hivi...... Mnisaidie waungwana. 1xbet ukideposit kwa visa ukitaka kuwithdraw hadi uwe na shilingi ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Bal

    JamiiForums Tanzania 3M naanza kufuga kuku wa kisasa

    Niaanza na kuku 200 nisome mchezo. Hapo ujenzi wa banda na chakula cha kuku
  5. Bal

    JamiiForums Tanzania 3M naanza kufuga kuku wa kisasa

    Nashukuru Lkn hiyo 3m ni pamoja na ujenzi wa banda
  6. Bal

    JamiiForums Tanzania 3M naanza kufuga kuku wa kisasa

    Wadau hongereni kwa ujasiliamali.... Naomba ushauri nina 3M nataka nianze ufugaji wa kuku wa kisasa. 1. Naomba kujua ukubwa na sifa kwa ujumla wa banda lake 2. Kuku wa mayai au nyama yupi analipa? 3. Kampuni inauza vifaranga bora kwa tanzania 4. Nianze na kuku wangapi (kwa kuku wa mayai...
  7. Bal

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Wadau hongereni kwa ujasiliamali. Naomba ushauri nina 3M nataka nianze ufugaji wa kuku wa kisasa. 1. Naomba kujua ukubwa na sifa kwa ujumla wa banda lake 2. Kuku wa mayai au nyama yupi analipa? 3. Kampuni inauza vifaranga bora kwa tanzania 4. Nianze na kuku wangapi (kwa kuku wa mayai wangapi na...
  8. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kudeposit skrill to 1xbet....ingia 1xbet nenda top up/deposit bofya ...Zen chagua skrill ...zen weka kiwango na chagua skrill wallet bofya confirm ...Zen weka email yako ya skrill na password ...Zen utakutana na visa card namba uliyoilink kwe skrill hapo utaweka CVV namba hizi zipo nyuma ya...
  9. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndiyo chief... Itaconvert yenyewe kama ilivyoconvert kutoka benk yako kwenda skrill.
  10. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tuvumiliane tuu, kusaidiana muhimu. Otherwise tutafanana na mikampuni ya kibongo hayataki watz tufanikiwe yanawaza yanufaike yenyewe tuu
  11. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nenda kwe akaunt yako ya skrill sehemu ya banks and cards hapo utaweka card no.(visa card no.)
  12. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ushailink kadi na skrill?
  13. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ulishafanya verification?
  14. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Itakuwa hivi....
  15. Bal

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jaza US Dollar
Back
Top Bottom