Recent content by Bakulutu

  1. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Unapenda kuvaa Kofia? Style gani Unayoipendelea?

    Utafiti wangu usio rasmi uvaaji wa kofia unapunguza uwezo wa kufiri kwa haraka. Mungu alivyo muumba mwanadamu sehemu ya kichwa haitaki kifuniko chochote zaidi ya nywele. Kichwa nacho kinapumua.
  2. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Wapi wanatoa hii physiotherapy kwa hapa DSM , naitafuta sana

    Ruhusu ubongo wako ufanye kazi vizuri. Kwenye tiba hakuna neno “udwanzi”
  3. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Nawezaje pata/calculate square meter kwa eneo lenye pembe 4 lenye urefu tofauti?

    Mfano eno lina 15m, 18m, 21m na 10m tafadhali wataalamu nipeni squre meter..
  4. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania DUNLOP: Sio tairi tu, ni uwekezaji wa usalama kwa chuma chako!

    Hizi dunlop za South African ndio unazipamba hivi mzee! Ile ya Japan au Scottish ndio yenyewe hizi za SA bado malalamiko mengi.
  5. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Wapi wanatoa hii physiotherapy kwa hapa DSM , naitafuta sana

    Wapi naweza pata wataalamu wakushtua viungo vilivyokaza kawa huyu kwenye hii video (TikTok) https://vt.tiktok.com/ZSm4c6jjn/
  6. Bakulutu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye hizi nyimbo za TOT na TamTam tafadhali anibariki

    Sijakuelewa
  7. Bakulutu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye hizi nyimbo za TOT na TamTam tafadhali anibariki

    Asante sana mtu wa nguvu kabisa
  8. Bakulutu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwenye hizi nyimbo za TOT na TamTam tafadhali anibariki

    Tafadhali sana: 1. Bad Bakule akiwa na TamTam wimbo unaitwa Chande( kazi hutaki kufanyabkwa vile kaka ana mali.) 2. Mpende akupendaye - TOT plus
  9. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania KERO Mbolea za YARA zimekuwa changamoto kupatikana kwa RUZUKU muda mrefu sasa hasa ukanda wa pwani.

    Uko wapi kama uko kanda ya pwani ni cheki dm namba yako
  10. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania AZAM TV, ubora na gharama zenu haviendani

    Hakuna majabu, mwanzo walianza kidogo vizuri wakaoandisha bei ya vifurushi . Sahivi hakuna HD kabisa ile quality ni below 1080 kabisa
  11. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania AZAM TV, ubora na gharama zenu haviendani

    Saa kumi jioni
  12. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania AZAM TV, ubora na gharama zenu haviendani

    azamtvtz mnachotufanyia wateja wenu sio sawa, mumepandisha gharama za vifurushi mara dufu ila ubora wa picha ni ovyo kabisa sio HD kabisa , ukiangalia mpira ovyo kabisa hakuna ubora kabisa ni janja njaja. Pia kwenye mpira kuna tatizo la kamera zenu hazionyeshi matukio kila kona hasa offside...
  13. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania KERO Mbolea za YARA zimekuwa changamoto kupatikana kwa RUZUKU muda mrefu sasa hasa ukanda wa pwani.

    Moderator Cookie naomba hii iwekeni kwenye social media iwafikie wahsuika, wakulima tuna kwama sana.
  14. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania KERO Mbolea za YARA zimekuwa changamoto kupatikana kwa RUZUKU muda mrefu sasa hasa ukanda wa pwani.

    Kabisa, kuna kitu hakipo sawa mahali mbolea zimekuwa adimu sana.
Back
Top Bottom