Recent content by Bakulutu

  1. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Ase mzee ulipa hii .. daah naitafuta saana.. hongeraaa hongeraaa eeeh maria kwa mzaaa mwana leo hiiiiii.. nchi ilikaaa kimyaaaa…. Niusiku wa mananeeww bwana Yesu alipo zaliwaaaaaaaaa
  2. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa ukaguzi wa magari (MIMIS) hautoi control au ni mimi nakosea?

    Kuna aliefanikiwa kupata control number?
  3. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa ukaguzi wa magari (MIMIS) hautoi control au ni mimi nakosea?

    Nimejaza taarifa za magari 2 na yote sijapata hata jirani yangu nae hivyo hivyo. Angalia picha
  4. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni “allergy” au ugonjwa gani?

    Kuwa na adabu dogo
  5. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni “allergy” au ugonjwa gani?

    Sidhani sababu jana na leo na maeneo 2 tofauti kabisa tena mbali kabisa 70km ++
  6. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni “allergy” au ugonjwa gani?

    Hakika
  7. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni “allergy” au ugonjwa gani?

    Jana nilala mchana kidogo kama dakika 20 gafla nimeamka nakuta mdomo umevimba upande wajuu uliobeba meno ya mbele! kama nimepigwa ngumi au kung’atwa na nyuki! Leo tuna hapa napoandika nimesinzia kama dakika 10 tuu naamka tayari umesha vimba tena zaidi ya jana! Ushauri tafadhali..!
  8. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Hiyo namba sio yangu niya Namba niya traffic aliendika faini , sio yangu. Nimefanya hiyo kulingana na sheria na sheria mpya za kimtandao.
  9. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Kaandikia plate number. Na mimi sinatabia ya kuficha leseni nakupa ili kama ni risiti unipe kabisa kuliko kufiziana
  10. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Hapana. Na hakika ndugu, mwaka huu hakuna aliendesha gari yangu . Narudia tena hakuna, wala sijawahi acha sehemu yeyote, ni uhuni umefanyika, na kwa nini serekali ina ruhusu kuandika faini kwa kutumia plate number? Ni rahisi sana kuwepo na uonevu.
  11. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Hapana gari naendesha mwenyewe miaka yote .
  12. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Hii ni haki kweli? Nimekuta gari yangu inadaiwa wala sijui kosa, sina taarifa yeyote

    Habari, leo nikiwa na kagua nijue nadaiwa kiasi gani cha maegesho ya gari gafla nakuta na daiwa sh 60000 ya makosa barabani , sijui niliandikiwa wapi na lini ! Huu utaratibu ukoje ? Naweza peleka malalamiko ? Moderator Maxence Melo
  13. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Kurudisha harufu ya ndani ya gari

    Akili za mtumba tabu sana
  14. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Kurudisha harufu ya ndani ya gari

    Badilisha Id haiendani na akili zako
Back
Top Bottom