Utafiti wangu usio rasmi uvaaji wa kofia unapunguza uwezo wa kufiri kwa haraka. Mungu alivyo muumba mwanadamu sehemu ya kichwa haitaki kifuniko chochote zaidi ya nywele. Kichwa nacho kinapumua.
azamtvtz mnachotufanyia wateja wenu sio sawa, mumepandisha gharama za vifurushi mara dufu ila ubora wa picha ni ovyo kabisa sio HD kabisa , ukiangalia mpira ovyo kabisa hakuna ubora kabisa ni janja njaja. Pia kwenye mpira kuna tatizo la kamera zenu hazionyeshi matukio kila kona hasa offside...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.