Recent content by Bakari Mohamedi

  1. B

    Jamila Omary anusurika kifo, ni kwenye ajali ya msafara wa Kinana akiwa Ngorongoro

    Ajali, ni ajali kinachoshukuliwa ni walikuwemo katika ajali kutoka salama na hilo ndilo tunaloshukuru. Lakini katka ajali hii iliyomkuta mbunge wa Viti maalum Catherine magige akiwa na gari la kuazima limekua ni suala lingine na bado anafikiria ni vipi ataimaliza ishu ya kupata ajali aliwa...
  2. B

    Jamila Omary anusurika kifo, ni kwenye ajali ya msafara wa Kinana akiwa Ngorongoro

    Ajali, ni ajali kinachoshukuliwa ni walikuwemo katika ajali kutoka salama na hilo ndilo tunaloshukuru. Lakini katka ajali hii iliyomkuta mbunge wa Viti maalum Catherine magige pamoja na mwandishi Jamila Omary akiwa na gari la kuazima aliloazima Catherine Magige limekua ni suala lingine huku...
  3. B

    Jamila Omary anusurika kifo, ni kwenye ajali ya msafara wa Kinana akiwa Ngorongoro

    Ajali, ni ajali kinachoshukuliwa ni walikuwemo katika ajali kutoka salama na hilo ndilo tunaloshukuru. Lakini katka ajali hii iliyomkuta mbunge wa Viti maalum Catherine magige pamoja na mwandishi Jamila Omary akiwa na gari la kuazima aliloazima Catherine Magige limekua ni suala lingine huku...
  4. B

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Kweli bora ujisepeshe tu maana bado una fikra mgando. Unadhani ukiwa jf mda mrefu ndo unakua mjanja?? Unaweza ukawa umeianzisha na ukawa bogaz tu. Lete hoja mama sio majungu.
  5. B

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Ni kweli lakini kwanini Pinda?? Wakati mambo haya kwanza kabisa ni mawaziri ndo walitakiwa kuzuia haya? Mwanasheria mkuu ndio alikua na uwamuzi wa mwisho juu ya hili waziri mkuu angefanya nini juu ya maamuzi aliyotakiwa kutoa mwanasheria mkuu. Hayo maswali unatakiwa uwahoji hawa mawaziri.
  6. B

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Nawewe umetumia fact za kisiasa zaidi au umetumwa na wale wa 2015?? Sisi tunataka ela sio kijiuzuru akina chenge na wenzake hadi wachungaji warudishe pesa kwanza.
  7. B

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Waliokula pesa hawa hapa kwanini tusikomae kuwaomba warudishe pesa yetu na wale ambao hawakutajwa majina??? Pinda anaijua escrow na ndio maana alitaka ufanyike uchunguzi zaidi kwakua yeye asingeweza kwenda kuchinguza peke yake kwakua sio kazi yake kuchunguza.
  8. B

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Yaani wanaacha kuwhukumu wenye hela zetu wanataka kuwahukumu wengine kwa kauli zao.. shida ni hela zetu akina chenge na wenzake bring back our money. Na wemgine wote hapa ishu tunataka hela na si vingine hata mtu akijiuzulu inafaidia ninibkama hajachukua hela ?? Sisi tunataka waliokula hela tu...
  9. B

    Hatimaye Siri ya Ziara ya Lowassa Nje ya Nchi yabainika

    He will bring back money u gave him. If not tchaooo
  10. B

    Hatimaye Siri ya Ziara ya Lowassa Nje ya Nchi yabainika

    Wewe kwa maono yako.. pole utang'aka sana. Still u cant see pinda resign
  11. B

    Hatimaye Siri ya Ziara ya Lowassa Nje ya Nchi yabainika

    Inawezekana kwa uelewa wako.. may be unasoma chekechea tunjuaje.. big up queen P
  12. B

    ESCROW ACCOUNT ilifunguliwa mwaka 2006 Edward Lowassa akiwa PM, Karamagi waziri wa nishati

    Haahahaaaa kweli we ndo umevurugwa kabisa sisi tunajadili ishu ya dunia ya leo ya ki digitali wewe unaturudisha south afrika mlikotokea naona umekumbuka sekondari kama kuna ticha hapa amuinbox material ya histori.
  13. B

    Hatimaye Siri ya Ziara ya Lowassa Nje ya Nchi yabainika

    Kwani wewe unataka aondoke??
  14. B

    Hatimaye Siri ya Ziara ya Lowassa Nje ya Nchi yabainika

    Haya tuambie ukweli wewe unaye ujua.
  15. B

    Hatimaye Siri ya Ziara ya Lowassa Nje ya Nchi yabainika

    We ulitaka aweke audia hapa ikiwa na picha na jina Lowasa aseme??? sisi tunayaona anayasema wewe hujayaona kua mpole anasema sana na tunajua mengi na hila zake.
Back
Top Bottom