Recent content by Bakangana Jpeter

  1. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Njia 5 Za Kupata Pesa Ya Kujikimu

    Imeeleweka apo hakuna doubt but kunamichongo yakidital sasa raia tumezama mazima mfano Betting, spin etc na tunapoteza mda sana kwa Hilo. Apa wajuzi Mimi naomba kujua kuusu link ya (video earn) link ambayo ukitumiwa we kazi yako ni kuweka bundle na kuangalia video na unapata pesa eti inaukwele...
  2. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amethibitisha kuwa Ujamaa ndio mfumo bora zaidi kama ukipata mtu makini wa kuusimamia.China wameweza,why not us?

    eeh inaonesha mbegu ya ujamaa bado IPO katika ardhi ya Tza na inataka kuota wakati ambao almost socialist country prove failer with the system na zinazo endeleza socialism zinaendeleza kwa misingi ya capitalist us like China use the technology to exploite our resources kwa mikataba ya kisasa...
  3. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB bado wanaendelea kutoa majina ya mikopo au wameshamaliza?

    sawa sawa anajikuta mjuaji sana uyo afu usikute ndio awo wanao lipiwa ada toka LA vidudu adi chuo. na namwambia me napambana mwenyewe nazitafuta afu najilipia ada asijifananishe na mm uyo mkopo kukosa sio tija ii ni Tza . napambana mwakani najilipia mwenyewe
  4. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB bado wanaendelea kutoa majina ya mikopo au wameshamaliza?

    sema unanikandia tu poa ila necta wananitambua kwa ufauru wangu TCU nao walikubali ndio mana wakanipa nafasi ya chuo blaza naona unadiss tu.
  5. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB bado wanaendelea kutoa majina ya mikopo au wameshamaliza?

    Nashukuru kulitambua iloo na kulalama inatokea pale disappointment zinakua nyingi natokea local family nilijitaidi kusoma kwa bidii nikiamini kwamba itafika point home wataneemeka ila katika izi movement za masomo nakutana na mambo magumu ni kama aya yalonikata sasa... mkopo sijapata...
  6. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB bado wanaendelea kutoa majina ya mikopo au wameshamaliza?

    sawa unaejua unaonekana upo kuniombea mazuri bila ya ww kujua bush narudi na naenda kulima boom lipo tu ntarikutaa aijalishi LA HESLB au LA mtaa...is better later than never....
  7. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB waliharibu systems zao kwa makusudi.

    mmh kwa nn tutoke kapaaa ?
  8. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB bado wanaendelea kutoa majina ya mikopo au wameshamaliza?

    Eeeh ni kweli wameto mm inaelekea siitajikii jina langu bado alijaapper na navithibitisho vyote nnavyo vya kupata mkopo. Nimejua hawako na mm niendelee na mixhe zingine tu..xul IPO tu...
  9. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB bado wanaendelea kutoa majina ya mikopo au wameshamaliza?

    Daaa ila wanazingua sana mda tunapoteza kusubili pata potea na hii mikopo inawafaidisha wenye kwao kupo good ila sis choka mbaya inatunyonya tu ela zetu za application
  10. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB bado wanaendelea kutoa majina ya mikopo au wameshamaliza?

    Write your reply...sijajua kwa nini wanafanya iv inafika time nawaza naona bora nihailishe chuo mwaka uu nijipange upya mwakani ... na kibaya zaidi awatoi tariifa kama wanavyo sema wao na kila nikifuatilia wanasema subiri daa inakua noma sana kwangu...
  11. Bakangana Jpeter

    JamiiForums Tanzania Tetesi: HESLB bado wanaendelea kutoa majina ya mikopo au wameshamaliza?

    Message nimepata chuo dar nimetoka mkoa nilitegemea mkopo ntapata ndo niendeshe masomo yangu sababu sina wakunisupport baba asha fariki na wakati wa application niliambatanisha vyeti vyote mapaka sasa sioni ata uafadhali wa chuo sababu sifanya registration ada sina inefanya appeal mpaka sasa...
Back
Top Bottom