Recent content by Bajaji dodoma

  1. Bajaji dodoma

    Pini jingine kutoka kwa Rosa Ree utata mtupu Kanisa lahusika, adai "I'm not Sorry"

    ID yako tu mkuu imenikumbusha far away...... Anyway Dem anajua huyu Kuna ngoma anakua creative kupitiliza tafuta kanyor aleng au Ile inaitwa Satan..... Ngoja niiskilizee na hii nione maana anaInguaga Sana tu nyimbo zake
  2. Bajaji dodoma

    Wazungu wana akili na maarifa, Waafrika tuna vipaji na nguvu

    Oh Africa.... Oh Africa.... Kitendawili cheusi
  3. Bajaji dodoma

    Arusha: Kiwanda ‘bubu’ kinachozalisha pombe kali chakamatwa

    Ujasiriamali at the core.... Kakosa mtaji tu big up kwake that's balls..... Ngoja nitafte mkemia tutengeneze kitoko tu
  4. Bajaji dodoma

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna ngoma flani hivi chorus kaimba Jay mo sijakusa inaitwaje nimeisaka sana..... Chorus iko hivi "Mi nakomaa na Wala sijali vile wazushi wanavoshangaa.... Rijali lazima utoke jasho mi nakomaa nakomaa" Pia nikipata shega tu ya darkmaster
  5. Bajaji dodoma

    Ugumu wa ajira hadi kwenye kazi ngumu

    Jamming carola kinasha tu hapa ajira ukakasi......
  6. Bajaji dodoma

    Hivi Watanzania hatuna haki ya kujua sababu za wao kuteuliwa?

    Ndo Ivo mkuu sisi tukomae tu ... Nimegundua uongozi kww nchi yetu lazima uwe inner circle Yani wanajuaana Sana toka kitambo ndo Mana hata mtu akipiga hela inakua ngumu kutumbuliwa Mana unakuta sijui Ni shemeji au mkwe au mpwa yani wanapeana tu vitengo na wanakutama daily kwenye Bata zao... Sie...
  7. Bajaji dodoma

    Hivi Watanzania hatuna haki ya kujua sababu za wao kuteuliwa?

    U...,.. tu..... Afirika bana ukipata shavu hata wewe lazima uchomeke wote unaowajua au uliowahi kupiga nao mishe nao wafaidi keki
  8. Bajaji dodoma

    Mpaka leo sijajua ni nini kilimtokea mpaka kutoweka ghafla

    Chemsha bongo kabla hujapagawa ukaduwaa
  9. Bajaji dodoma

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Currently reading "Outwitting the devil"
  10. Bajaji dodoma

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Umecheza kama maradona chief.... Made wengi wanasoma huu Uzi kimya kimya.... Namantain privacy ya mteja
  11. Bajaji dodoma

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Safi sana mzee Niko na mdogo wake huyo kvant hapa nammalizia taratibu Mana hili winta la ddom sio poa
  12. Bajaji dodoma

    Yatokanayo na usafiri wa bodaboda

    Na ukimshusha kijiwe kingine wahuni lazima tukwbia asanteeee baba kwa kutuletea zigooo
  13. Bajaji dodoma

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Story ndefu mkuu... Ila inshort sista alikua mgeni mjini mishale Kama sa kumi hivi inaenda kumi namoja Kuna abiria namshusha airport pale Dom achkue flight ile nimemaliza kulipia kule risiti ya parking niazama kwenye chuma piga stata gia namba Mona mdgo mdgo nakunja Kona pale nielekee getini...
  14. Bajaji dodoma

    Mlevi, mzee wa kupiga hesabu baada ya matumizi

    Pombe pombe nshakunywa Sana.... Natimba zangu chako ni chako pub baa ya wapenda fujo af mzee mzima naagiza Smirnoff black ice... Kumbuka nna hesabu ya siku nzima hapo ila siwazi Wala nn kwanza nna hasira nimesoma Sana af ajira zimenisaliti acha nigonge vyuma .... Sminoff Kama ya tatu hivi...
  15. Bajaji dodoma

    Kijana unayeanza maisha usinunue pikipiki kama usafiri wako, utaondoka mapema

    Sisi wengine tushazoea mana ugali ugali wetu was Kila siku unapatikana humo ajali tunapata na maisha yanasonga no retreat no surrender afe kipa afe beki lazam tuendeshe tu I'll no risk Sana najiachanga tu ntafte mkwanja nifanye nshu nyingine..... Mungu anatupigania Sana na nyie went magari...
Back
Top Bottom