Hata mimi nimecheka sana aliposema Magufuli ana jua idadi ya samaki nipo nilipo jua Polepole uwezo wake wa kufikiri hauna tofauti nawale ambao hawajaenda Shule
Mbunge kama Kangi Lugola kwa sababu kwa kipindi cha utawala Kikwete alitegemea kupata uwaziri hata kwa kipindi kimpja lankini mambo haya kuwa hivyo kwa hiyo ana tafuta fadhila kwa Eddo ili amkumbuke wakati atakapo ingia katika ufalme.
Kama hawa takiwi kuingilia mambo ya siasa mbona wame pewa nakala za katiba pendekezwa na Nina kuhakikishia kuwa kama viongozi hawa wa dini wange waambia waumni waipigie kura ya ndiyo wagepongezwa na serkali mpaka wange andaliwa hafla ya kuwa pongeza AKILI MUKICHWA
Katiba hata iwe na mambo mengi mazuri na kukawa na jambo moja tu lisilo faa basi katiba yote hifai kwani ni sawa na tone dogo la mafuta ya taa likiingia katika pipa moja la maji huwezi kutumia yale maji utayapiga maji yote
Chini upo hapo Wtz tusidanganywe
Kawaulize Tbc kama kuna siku walisha changanya watoa mada siku zote wanatafuta watu ambao hawapo kinyume nasirikali.Halafu ukiona umefungulia ITV Daima ukaona kuna kipindi haki kupedezi wewe nyanyuka mdogomdogo utuachie ITV Yetu usilete uchafu humu Jf ukategemea kuna mjinga mwenzio atakusapot
Vitu kama haki za binadam watoto na makundi mengine maalum tayari ipo kwenye sheria na mikataba ya kimataifa.kwa hiyo sisi wa Tz bado tunasisitiza kkuwa kuna mambo muhim wame yatupa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.